Na Cantona Joseph Julai 01, 2026 21:40 (EAT)
England haijafungwa katika mechi zote tisa zilizopita za Kombe la Dunia dhidi ya timu pinzani za Afrika, ikishinda tano na sare nne huku ikiruhusu mabao matatu pekee.
NA MECHI INAKAMILIKA

ENGLND 2 – 1 DRC
Harry Kane anaiokoa England baada ya kufunga magoli mawili katika kipindi cha pili
England inatoka nyuma 1-0 hadi kufanya mambo kuwa 2-1
‘Nitashangaa kama Kane hatashinda Ballon d’Or’

England 2-1 DR Congo
Paul Robinson Kipa wa zamani wa England kwenye BBC Radio 5 Live kwenye Uwanja wa Atlanta
”Ikiwa Harry Kane hatashinda Ballon d’Or mwaka huu basi nitashangaa sana. Amekuwa bora kabisa na kwa mara nyingine tena alichukua jukumu. Mpira ulikuwa ukizunguka pembezoni mwa kisanduku na akasema ‘Nina jibu”’.
GOOO Harry kane anaitanguliza mbele England,England 2 DRC 1

Harry Kane apiga shuti kali na kuiweka England kifua mbele ikiwa zimebakia dakika chahe mechi ikamilike
Kocha wa England Tuchel anaonekana kuwa na wasiwasi

Phil McNulty Mwandishi mkuu wa BBC Sport katika uwanja wa Atlanta
Kocha mkuu wa England Thomas Tuchel anaonekana mwenye wasiwasi katika eneo lake la ufundi huku akiwaashiria wachezaji wake na kufanya vivyo hivyo kwa timu yake ya nyuma.
Kuna mambo mengi ya kutisha katika kipindi hiki kijacho kwa Tuchel – na Chama cha Soka.
England 0-1 DR Congo

England wanapoteza mpira katikati ya uwanja na sasa ni zamu ya DR Congo kuupitisha mpira kwenye eneo la hatari. Mpira wa Arthur Masuaku unakatwa.


Leave a Reply