
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa
Na Cantona Joseph April 02, 2026 05:08 (EAT)


Kwa mara ya kwanza katika zaidi ya miaka 50, binadamu anarudi Mwezini, akisafiri zaidi kutoka duniani kuliko mtu mwingine yeyote aliyewahi kuwa hapo awali.
Kazi hiyo maalumu ya Nasa ya Artemis II, ambayo imezinduliwa usiku wa kuamkia leo imeelezwa kuwa italeta uelewa mpya wa mazingira ya mwezi.
Wanaanga wanne wanafanya safari hii ya kihistoria, baada ya maaandalizi ya miaka kadhaa na hatimaye Mamlaka ya Taifa ya Anga nchini Marekani NASA- kuizindua katka kituo cha anga cha Kennedy Artemis II.
Vita vya Iran: Trump asema malengo ya Marekani ‘yanakaribia kukamilika’

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema nchi yake imepata mafanikio makubwa katika vita dhidi ya Iran, kufuatia mashambulizi ya pamoja na mshirika wake mkuu, Israel.
Akilihutubia taifa juu ya vita hivyo amesema Marekani itamaliza kazi hiyo na kutishia kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ikiwa viongozi wapya wa nchi hiyo hawatafikia makubaliano.
Katika hotuba hiyo iliyochukua takribani dakika ishirini, Trump amesema mashambulizi dhidi ya Iran, yaliyoanza mwezi mmoja uliopita, yamesababisha uharibifu mkubwa katika vituo vya urutubishaji wa nyuklia nchini Iran, pamoja na kuuawa kwa baadhi ya viongozi wa juu wa serikali hiyo.
Amesisitiza kuwa hatua hizo zimeudhoofisha kwa kiasi kikubwa uongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Trump pia amesema kwa zaidi ya miaka 47, Iran imekuwa tishio kwa Marekani na nchi jirani, akitolea mfano jinsi mamlaka ya Tehran ilivyoshughulikia maandamano ya raia wake waliopinga utawala.
Rais huyo amesisitiza kuwa Marekani haitaruhusu Iran kumiliki silaha za nyuklia, akidai kuwa vituo vingi vya urutubishaji wa urani vimeharibiwa vibaya.
UAE inazuia makombora yaliyorushwa na Iran
Umoja wa Falme za Kiarabu imekuwa ikikabiliana na vitisho vya kushambuliwa kwa makombora na ndege zisizo na rubani, wizara yake ya ulinzi ilisema muda mfupi, kabla ya hotuba ya Rais wa Marekani Donald Trump.
Wizara hiyo ilisema mashambulizi hayo yametoka Iran na kuwatahadharisha wananchi wake kuhusu sauti zinazosikika kote nchini wakati ikifanyashughuli ya kuzuia makombora hayo.
Katika hotuba yake kwa taifa kuhusu vita vya Iran hapo awali, Trump aliishukuru UAE na washirika wengine wa Ghuba, ambao wamekosolewa na Iran kwa kulipiza kisasi mashambulizi ya Marekani na Israel.
Trump alisema kuwa utawala wa Iran ulikuwa ukianzisha “mashambulizi ya kigaidi yaliyoharibika” dhidi ya meli za mafuta na nchi jirani ambazo “hazina uhusiano wowote na mzozo huo” alipokuwa akizungumzia wasiwasi kuhusu kupanda kwa bei ya nishati.
afghanistan, africa, albania, algeria, America, american-samoa, andorra, angola, anguilla, antarctica, antigua-and-barbuda, argentina, armenia, aruba, arusha, australia, austria, azerbaijan, bahamas, bahrain, bangladesh, barbados, belarus, Belgium, belize, benin, bermuda, bhutan, bolivia, bosnia-and-herzegovina, botswana, Boukinafaso, brazil, brunei-darussalam, bulgaria, burkina-faso, burma, burundi, california, cambodia, cameroon, canada, cape-verde, cayman-islands, central-african-republic, Chad, chicago, chile, china, christmas-island, cocos-keeling-islands, colombia, comoros, congo, cook-islands, costa-rica, cote-divoire-ivory-coast, Croatia, cuba, cyprus, czech-republic, darsalaam, democratic-peoples-rep-north-korea, democratic-republic-of-the-congo-kinshasa, denmark, djibouti, dodoma, dominica, dominican-republic, dr-congo, dubai, east-timor-timor-leste, ecuador, egypt, egypty, el-salvador, england, equatorial-guinea, equitorial-guinea, eritrea, estonia, eswatini, ethiopia, falkland-islands, faroe-islands, federal-states-of-moldova, fiji, finland, Florida, france, french-guiana, french-polynesia, french-southern-territories, gabon, gaza, georgia, germany, ghana, gibraltar, goma, Greece, greenland, grenada, guadeloupe, guam, guatemala, guinea, guinea-bissau, guyana, habari, haiti, holy-see, honduras, hong-kong, houston, hungary, iceland, india, indonesia, Iowa, iran, iran-islamic-republic-of, iraq, ireland, israel, italia, italy, ivory-coast, jamaica, japan, jordan, karatu, kazakhstan, kilimanjaro, kinshasa, kiribati, kiswahili, korea, kosovo, kuwait, kyrgyzstan, lao, latvia-lebanon-lesotho-liberia-libya-liechtenstein-lithuania-luxembourg, Lebanon, liberia, macau, madagascar, malawi, malaysia-maldives, Mali, malta, marshall-islands-martinique-mauritania-mauritius, massechutes, mayotte, mazingira, mbeya, meru, mexico, miami, micronesia, monaco-mongolia-montenegro, montserrat, morocco, mozambique-myanmar, mtwara, mwanza, namibia, nauru, nepal, netherlands, netherlands-antilles, nevada, new-caledonia, new-zealand, newyork, nicaragua, niger, nigeria, niue, north-macedonia, northern-mariana-islands, norway, oman, pakistan, palau, palestine, palestinian-territories, panama, papua-new-guinea, paraguay, peoples-democratic-republic, peru, philadhephia, philipians, Philippines, pitcairn-island, poland, politics, Portugal, puerto-rico, qatar, republic-of, republic-of-brazzaville, republic-of-south-korea, reunion-island, romania, Russia, russian-federation, rwanda, sahara-occidental, saint-kitts-and-nevis, saint-lucia, saint-vincent-and-the-grenadines, samoa, san-marino, sao-tome-and-principe, saudi-arabia, saudiarabia, scotland, Senegal, serbia, seychelles, sierra-leone, Singapore, singida, slovakia-slovak-republic, slovenia, solomon-islands, somalia, southafrica, spain, sri-lanka, sudan, suriname, swaziland-eswatini, sweden, switzerland, syria, syrian-arab-republic, tabora, taiwan-republic-of-china, tajikistan, tanzania, texas, thailand, the-gambia, tibet, timor-leste-east-timor, togo, tokelau, tonga, toronto, trinidad-and-tobago, tunisia, turkey, turkmenistan, turks-and-caicos-islands, tuvalu, uganda, united-arabs-emirates, united-kingdom, united-states, uruguay, uzbekistan, vancover, vanuatu, vatican-city-state-holy-see, venezuela, vietnam, virgin-islands-british, virgin-islands-u-s, wallis-and-futuna-islands, wallis-and-futuna-islands, wallis-et-futuna, washington-dc, western-sahara, yemen, zambia, zambie, zimbabwe
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.