Toka ulipo zaliwa Mungu alikuandalia maisha yenye baraka na mafanikio.Baraka zako zimefichwa gizani.Kuna mtu kazificha gizani na ndio maana neno linasema nitakupa hazina zilizofichwa gizani.Ukisimama kwa Mungu usiangalie umeshindwa mara ngapi,Tazama Ayubu wote walimkimbia akasema nimebakiza mmoja tu mtetezi wangu yu hai na ataniokoa.

Mungu aliye hai akakupe hazina zako na kukutoa kwenye taabu na shida zako kwa Jina la Yesu.
Maneno ya watu yanaweza kufanya ukachoka kabisa na kukutisha ukaona haiwezekani tena kutoka kwenye shida uliyo nayo,Yupo Mungu anayeishi yeye huondoa udhaifu wote na atakutenga mbali na kuonewa. Kuanzia leo uwe huru,neno hili likawe mkate na maji likakupe nguvu ya kuanza na kusonga mbele.Ni maombi yangu kwako hakuna wa kukushinda tena.

#Iposiku #Getinspired #CantonaJosephMotivates All rights reserved©2019


Discover more from Cantona. Digital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a Reply

About us

Welcome to Cantona Group PLC-Where media meets moments.

Cantona Group PLC is a Premier Multi Media Group, where we connect live Broadcasting with world-class Production. We break the latest news in real-time, shape public perception, and produce captivating audio-visual content all under one roof.

Discover more from Cantona. Digital

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading

Discover more from Cantona. Digital

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading