Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Tangu mwaka 2011, Syria imekuwa ikikabiliwa na tatizo la nishati. Migogoro imeharibu miundombinu, na kupunguza upatikanaji wa umeme na gesi.… Read more “Syria: Matumaini ya kurejea kwa gesi na umeme baada ya miaka mingi ya uhaba Damascus”
Tag: afya
Israel yashambulia uwanja wa ndege, bandari Yemen, Mkuu wa WHO anusurika
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Israel imefanya mashambulizi ya anga kwenye maeneo kadhaa yanayohusiana na Wahuthi nchini Yemen, yakiwemo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa… Read more “Israel yashambulia uwanja wa ndege, bandari Yemen, Mkuu wa WHO anusurika”
Zijue nchi za Afrika zisizoruhusu uraia pacha, zipo za Afrika Mashariki
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Uraia wa nchi mbili ni kinyume cha sheria katika nchi kadhaa za Kiafrika. Lakini uraia huo hutoa manufaa mbalimbali, ikiwa… Read more “Zijue nchi za Afrika zisizoruhusu uraia pacha, zipo za Afrika Mashariki”
Kenya: IPOA ina wasiwasi kuhusu ongezeko la utekaji nyara unaofanywa na maafisa wa polisi
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Nchini Kenya, wasiwasi unaongezeka kuhusu msururu wa utekaji nyara na visa vya watu kutoweka unaodaiwa kutekelezwa na polisi katika wiki… Read more “Kenya: IPOA ina wasiwasi kuhusu ongezeko la utekaji nyara unaofanywa na maafisa wa polisi”
Sudani: Njaa inaenea na Serikali yajiondoa kwenye kipimo cha usalama wa chakula.
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Njaa inazidi kushika kasi nchini Sudan. Huu ni uchunguzi uliofanywa na mfumo jumuishi wa uainishaji wa usalama wa chakula, unaojulikana… Read more “Sudani: Njaa inaenea na Serikali yajiondoa kwenye kipimo cha usalama wa chakula.”
AFRIKA LEO MCHANA -25-12-2024
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Karibu katika Matangazo yetu ya jioni moja kwa moja kutoka Communication Center. Tumekuandalia mengi ikiwa ni pamoja Muhtasari Naam,Natumai U… Read more “AFRIKA LEO MCHANA -25-12-2024”
Maandamano yazuka nchini Syria kuhusiana na uchomaji moto wa mti wa Krismasi
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Maandamano yameshuhudiwa nchini Syria, kulaani kitendo cha kuteketezwa moto kwa mti maalum wa kuashirikia sikukuu ya Krismasi, wakati huu uongozi… Read more “Maandamano yazuka nchini Syria kuhusiana na uchomaji moto wa mti wa Krismasi”
DRC: Askofu Mkuu wa Kinshasa atoa ujumbe wa Krismasi kwa serikali kuzingatia amani
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), askofu mkuu wa Kinshasa Fridolin Ambongo, ametoa wito kwa mamlaka kuhamasisha amani na… Read more “DRC: Askofu Mkuu wa Kinshasa atoa ujumbe wa Krismasi kwa serikali kuzingatia amani”
Trump anapanga kuondoa Amerika katika WHO siku ya kwanza ofisini
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Rais-Mteule wa Amerika Donald Trump. Picha|Maktaba WANACHAMA wa timu ya mpito ya urais ya Donald Trump wanapanga Amerika kujiondoa kutoka… Read more “Trump anapanga kuondoa Amerika katika WHO siku ya kwanza ofisini”
DRC: Takriban watu 40 wakufa maji baada ya boti kuzama katika mkoa wa Équateur
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa DRC inaendelea kukumbwa na ajali za majini na kusababisha vifo vya watu wengi. Ajali nyingine ilitokea kaskazini-magharibi mwa Jamhuri ya… Read more “DRC: Takriban watu 40 wakufa maji baada ya boti kuzama katika mkoa wa Équateur”