Radio Fortune Africa
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

INATOKEA SASA HIVI
SIKILIZA RADIO FORTUNE AFRICA
- Makala Maalum
- Habari zote zinazovuma
- Video
- Empowerment Mathematics
- Marriage Mathematics
HABARI KOTE DUNIANI
- Afrika
- E.A.C
- Ulaya
- Amerika
- Mashariki ya kati
- Asia
- Siasa – Uchumi
- Afya – Mazingira
- Utamaduni
- Michezo
- Jifunze Kifaransa

- Siasa – Uchumi
- Afya – Mazingira
- Utamaduni na Jamii
- Kipenga Cha Michezo
Nchini Tanzania,Wamaasai waondolewa kwa nguvu Katika ardhi yao.
Serikali ya Tanzania inawafurusha kwa nguvu makumi kwa maelfu ya Wamaasai kutoka katika ardhi yao kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la kimataifa la kueteta haki za binadamu la Human Rights Watch.

Ripoti hiyo inaeleza kwamba maofisa wa serikali ya Tanzania kwa sehemu fulani wanawapiga watu wakiwa na nia ya kuwataka kuondoka kwenye ardhi yao.
Mzozo wa muda mrefu kati ya mamlaka nchini Tanzania na jamii ya Maasai kwa mara nyengine umesababisha machafuko mabaya tangu serikali ilipotangaza kuwahamisha mwaka wa 2022.
Serikali ilikuwa imepanga kuwahamisha karibia wamaasai 82,000 kutoka katika ardhi ya Ngorongoro kufikia mwaka wa 2027 kwa mujibu wa Human Rights Watch.

Mamlaka imetetea mpango wa kuwahamisha watu hao ikisema ni njia moja ya kuhifadhi eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO kutokana na uvamizi wa binadamu.
HRW imesema iliwahoji karibu watu 100 kati ya Agosti 2022 na Desemba 2023, wakiwemo wamaasai ambao tayari walikuwa wamehamia katika kijiji cha Msomera huko Handeni na wengine wanaokabiliwa na tishio la kuhamishwa.
Ripoti hiyo ilieleza kwamba walinzi wa msitu waliwashambulia na kuwapiga wakazi hao na hadi sasa hawajachukuliwa hatua.

Ripoti hiyo pia ilidai kuwa serikali ya Tanzania ilishindwa kutoa kibali huru na cha haki kwa uhamisho huo, ikielezea ukiukwaji wa haki za ardhi, elimu na afya.
Wakati jamii ya kuhamahama kihistoria imeruhusiwa kuishi ndani ya baadhi ya mbuga za kitaifa, mamlaka inasema idadi inayoongezeka ya watu inaingilia makazi ya wanyamapori.
Kusambaza :
Soma zaidi mada inayofanana:
Kuhusu mada hiyohiyo

Uamuzi unatarajiwa katika kesi ya kihistoria ya mauaji katika uwanja wa Conakry

Shambulizi la ndege isiyo na rubani lalenga kambi moja wakati wa ziara ya mkuu wa jeshi la Sudani

Tanzania: Serikali inawaondoa kwa nguvu wamaasai kutoka katika ardhi yao: HRW

Sudan : Jeshi lataka masharti kadhaa kutimizwa kabala ya mazungumzo mjini Geneva

Guinea : Mahakama kutoa uamuzi wake dhidi ya Moussa Dadis Camara
Niger: Mahakama yaagiza kuachiliwa kwa muda kwa mawaziri wanne wa zamani wa rais Mohamed Bazoum

Mwanaharakati wa Cameroon azuiliwa kwa machapisho yake kwenye Tiktok

Sahara Magharibi: Algeria yatangaza ‘kumrejesha nyumbani’ balozi wake Paris

Ufaransa yaunga mkono uhuru wa Sahara Magharibi ndani ya Morocco

DRC: Kinshasa inashutumu Rwanda na M23 kwa oparesheni za kuhatarisha usalama wa anga

Mali: Jeshi la Mali lakiri kupioteza wanajeshi wake wengi mjini Tinzaousene

Fahamu agenda kuu za Odinga iwapo atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa AUC

Afrika Kusini: Jacob Zuma aondolewa rasmi kwenye ANC
INATOKEA SASA HIVI
DUNIA
SISI NI NANI
TOVUTI ZA FRANCE MÉDIAS MONDE
HUDUMA
MAOMBI
© 2024 Copyright RFI – Haki zote zimehifadhiwa. RFI haihusiki kwa maudhuhi ya kitokacho nje ya tovuti. Utambuzi wa ACPM.ACPM
Orodha
10:00
GURUDUMU LA UCHUMI
04/03/2024
Umuhimu wa ushirikiano kati ya sekta binafsi na uma
10:04
WIMBI LA SIASA
20/03/2024
Makala haya yanatupia jicho uchaguzi wa urais nchini Urusi, nini maana ya ushindi wa rais Vladimir Putin.
09:56
AFRIKA YA MASHARIKI
28/10/2023
Nishati inachangia asilimia kubwa kwa ukuaji wa Uchumi wa mataifa
20:03
CHANGU CHAKO, CHAKO CHANGU
28/11/2023
Historia ya kabila la Wadigo wa Kenya na Tanzania katika Makala Changu Chako na Florence Kiwuwa
10:02
GURUDUMU LA UCHUMI
04/03/2024
Kuberoshwa kwa huduma ya intaneti Kenya na ilivyochochea ubunifu
20:04
NYUMBA YA SANAA
06/01/2024
Ambwene Mwasongwe Muimbaji wa Nyimbo za Injili kutoka nchini Tanzania
10:19
SIHA NJEMA
21/11/2023
Mpango wa afya kwa wote barani Afrika
MubasharaHabariOrodha Kuu
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.