https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

Uganda imetupilia mbali ripoti ya wataalam wa Umoja wa Mataifa kuwa inawaunga mkono waasi wa #M23 wanaoendelea kutekeleza mashambulio mashariki mwa nchi jirani ya #DRCongo.
Ripoti hiyo iliotolewa wiki hii inasema kwamba M23 ilikuwa inapokea msaada wa kijeshi na kiintelenjensia kutoka kwa Uganda.
TheHeartBeatofAfrica
All Rights Reserved Cantona Group Ltd||2024
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.