Na Cantona Joseph June 24, 2026 07:40 (EAT)

https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa
KIPENGA CHA MICHEZO

Katika mechi ya mwisho siku ya Jumanne, timu ya soka ya Colombia ilifanikiwa kuishinda DRC Congo kwa bao moja na kujihakikishia kusonga mbele kwa pointi 6.
Colombia walianza mchezo kwa kasi kuanzia dakika za kwanza kabisa, na mshambuliaji wa timu hiyo Luis Diaz, alifunga dakika ya 10, lakini mwamuzi akatangaza kuwa ameotea.
Diaz pia alifunga bao zuri mwishoni mwa kipindi cha pili baada ya kuwapiga chenga walinzi kadhaa wa Congo, lakini mwamuzi akakataa tena kuwa ameotea mara tu alipopata pasi.
Mchezaji wa Colombia Mones, hatahivyo aliifungia Colombia bao la pekee katika dakika ya 76.
Hivyo, Colombia, ambayo ilikuwa imeishinda Uzbekistan katika mechi ya kwanza, ilipata pointi 6 kupitia ushindi huo na kuwaweka kileleni mwa jedwali juu ya Ureno na kusonga mbele.
‘Nimerudi’ – Ronaldo awajibu wakosoaji baada ya kuvunja rekodi

“Nimerudi! Nimerudi!” alisema Baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa mabao 5-0 wa timu yake dhidi ya Uzbekistan, Cristiano Ronaldo alikodolea macho kamera ya televisheni na kuwakejeli kwa wale waliodai kuwa yeye ndiye tatizo la Ureno kwenye Kombe la Dunia la 2026.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 41 hakuweza kuficha hisia zake, wala kuzuia furaha yake alipokuwa akisherehekea mafanikio ya kihistoria ya kuwa mchezaji wa kwanza kuzifumania nyavu katika matoleo sita ya michuano hiyo mikubwa zaidi ya kandanda. Ilikuwa pia jibu kamili kwa wakosoaji ambao walikuwa wamempuuza.
Ronaldo alikosolewa vikali baada ya Ureno kutoka sare ya 1-1 na DR Congo katika mechi yao ya kwanza ya Kundi K, huku nyota wengine wa kimataifa wakiwemo Lionel Messi wa Argentina, mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe, Erling Haaland, wa Norway, Vinicius Jr wa Brazil na nahodha wa Uingereza Harry Kane wote wakionyesha umahiri wao katika wiki mbili za kwanza za michuano ya Kombe la Dunia 2026.
Ronaldo alihitaji dakika sita pekee kufunga bao lake la kuvunja rekodi, akitumia vyema krosi ya Joao Cancelo, na kisha akafunga bao lengine kabla ya kipindi cha mapumziko kwa ushirikiano na Bruno Fernandes.
Licha ya juhudi za wachezaji wenzake kipindi cha pili, nahodha huyo wa timuya taifa ya Ureno hakufanikiwa kupata hat-trick aliyotamani.
All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2026
afghanistan, africa, albania, algeria, America, american-samoa, andorra, angola, anguilla, antarctica, antigua-and-barbuda, argentina, armenia, aruba, arusha, australia, austria, azerbaijan, bahamas, bahrain, bangladesh, barbados, belarus, Belgium, belize, benin, bermuda, bhutan, bolivia, bosnia-and-herzegovina, botswana, Boukinafaso, brazil, brunei-darussalam, bulgaria, burkina-faso, burma, burundi, california, cambodia, cameroon, canada, cape-verde, cayman-islands, central-african-republic, Chad, chicago, chile, china, christmas-island, cocos-keeling-islands, colombia, comoros, congo, cook-islands, costa-rica, cote-divoire-ivory-coast, Croatia, cuba, cyprus, czech-republic, darsalaam, democratic-peoples-rep-north-korea, democratic-republic-of-the-congo-kinshasa, denmark, djibouti, dodoma, dominica, dominican-republic, dr-congo, dubai, east-timor-timor-leste, ecuador, egypt, egypty, el-salvador, england, equatorial-guinea, equitorial-guinea, eritrea, estonia, eswatini, ethiopia, falkland-islands, faroe-islands, federal-states-of-moldova, fiji, finland, Florida, france, french-guiana, french-polynesia, french-southern-territories, gabon, gaza, georgia, germany, ghana, gibraltar, goma, Greece, greenland, grenada, guadeloupe, guam, guatemala, guinea, guinea-bissau, guyana, habari, haiti, holy-see, honduras, hong-kong, houston, hungary, iceland, india, indonesia, Iowa, iran, iran-islamic-republic-of, iraq, ireland, israel, italia, italy, ivory-coast, jamaica, japan, jordan, karatu, kazakhstan, kilimanjaro, kinshasa, kiribati, kiswahili, korea, kosovo, kuwait, kyrgyzstan, lao, latvia-lebanon-lesotho-liberia-libya-liechtenstein-lithuania-luxembourg, Lebanon, liberia, macau, madagascar, malawi, malaysia-maldives, Mali, malta, marshall-islands-martinique-mauritania-mauritius, massechutes, mayotte, mazingira, mbeya, meru, mexico, miami, micronesia, monaco-mongolia-montenegro, montserrat, morocco, mozambique-myanmar, mtwara, mwanza, namibia, nauru, nepal, netherlands, netherlands-antilles, nevada, new-caledonia, new-zealand, newyork, nicaragua, niger, nigeria, niue, north-macedonia, northern-mariana-islands, norway, oman, pakistan, palau, palestine, palestinian-territories, panama, papua-new-guinea, paraguay, peoples-democratic-republic, peru, philadhephia, philipians, Philippines, pitcairn-island, poland, politics, Portugal, puerto-rico, qatar, republic-of, republic-of-brazzaville, republic-of-south-korea, reunion-island, romania, Russia, russian-federation, rwanda, sahara-occidental, saint-kitts-and-nevis, saint-lucia, saint-vincent-and-the-grenadines, samoa, san-marino, sao-tome-and-principe, saudi-arabia, saudiarabia, scotland, Senegal, serbia, seychelles, sierra-leone, Singapore, singida, slovakia-slovak-republic, slovenia, solomon-islands, somalia, southafrica, spain, sri-lanka, sudan, suriname, swaziland-eswatini, sweden, switzerland, syria, syrian-arab-republic, tabora, taiwan-republic-of-china, tajikistan, tanzania, texas, thailand, the-gambia, tibet, timor-leste-east-timor, togo, tokelau, tonga, toronto, trinidad-and-tobago, tunisia, turkey, turkmenistan, turks-and-caicos-islands, tuvalu, uganda, united-arabs-emirates, united-kingdom, united-states, uruguay, uzbekistan, vancover, vanuatu, vatican-city-state-holy-see, venezuela, vietnam, virgin-islands-british, virgin-islands-u-s, wallis-and-futuna-islands, wallis-and-futuna-islands, wallis-et-futuna, washington-dc, western-sahara, yemen, zambia, zambie, zimbabwe
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.