Raia 15 wa Zimbabwe wameuawa wakiipigania Urusi nchini Ukraine

Radio Fortune Africa -Ukweli na Burudani

https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

Na Cantona Joseph Imechapishwa : March 27, 2026 16:44 (EAT)

Vocalize Pre-Player Loader

Zimbabwe inasema raia wake kumi na watano, wameuawa, baada ya kusajiliwa katika jeshi la Urusi kwenda kupigana nchini Ukraine, huku wengine zaidi ya 60 wamekwama katika mstari wa mbele kwenye vita.

Raia kutoka mataifa ya Afrika wamesajiliwa katika jeshi la Urusi kupigana nchini Ukraine
Raia kutoka mataifa ya Afrika wamesajiliwa katika jeshi la Urusi kupigana nchini Ukraine AP – Andriy Andriyenko

Waziri wa Habari Zhemu Soda, amethibitisha idadi hiyo akieleza kuwa raia wa Zimbabwe waliojipata kwenye vita hivyo, walidaganywa kuwa watapata ajira zenye malipo mazuri, kabla ya kujipata kwenye uwanja wa mapambano.

Aidha, ameeleza kuwa kilichofanyika ni utapeli, kutumiwa vibaya na kulanguliwa kwa raia wa Zimbabwe ambao sasa umesababisha mauaji hayo.

Serikali ya Zimbabwe inasema tayari ipo kwenye mazungumzo na serikali ya Urusi, kuhakikisha kuwa miili ya raia wa nchi wake waliouawa inarejeshwa nyumbani pamoja na wale ambao wanaendelea kupigana.

Hii ni mara ya kwanza kwa Zimbabwe, kukiri wazi kuwa raia wake wanalipigania jeshi la Urusi nchini Ukraine.

Zimbabwe inajiunga na mataifa ya KenyaGhana na Afrika Kusini, ambao raia wake pia wanapigania Urusi.

Kamanda wa kikosi cha majini cha jeshi la Iran ameuawa

Alireza Tangsiri – Aliyekuwa kamanda wa kikosi cha majini cha jeshi la Iran © Tehran Times

Israel inasema imemuua Alireza Tangsiri, Kamanda wa kikosi cha majini cha jeshi la walinzi wa mapinduzi ya Iran, katika mashambulizi mazito yaliyofanyika usiku wa kuamkia Alhamisi.

Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz amethibitisha kumuua, Kamanda huyo aliyekuwa anasimamia mlango wa Bahari wa Hormuz, njia kuu ya meli za mafuta, iliyofungwa na Iran.

Israel imeongeza kuwa kuuawa kwa Kamanda huyo ni mfano wa ushirikiano dhabati kati ya majeshi ya nchi yake na Marekani.

Kuendelea kufungwa kwa Hormuz, kumeanza kusababisha kupanda kwa bei ya mafuta katika mataifa mbalimbali, licha ya Iran kuendelea kukataa kuufungua mlango huo wa Bahari.

Wakati hayo yakijiri, Baraza la nchi za Ghuba limesema vitendo vya Iran kutekeleza mashambulio katika nchi jirani, vimevuka mistari yote nyekundu.

afghanistanafricaalbaniaalgeriaAmericaamerican-samoaandorraangolaanguillaantarcticaantigua-and-barbudaargentinaarmeniaarubaarushaaustraliaaustriaazerbaijanbahamasbahrainbangladeshbarbadosbelarusBelgiumbelizebeninbermudabhutanboliviabosnia-and-herzegovinabotswanaBoukinafasobrazilbrunei-darussalambulgariaburkina-fasoburmaburundicaliforniacambodiacamerooncanadacape-verdecayman-islandscentral-african-republicChadchicagochilechinachristmas-islandcocos-keeling-islandscolombiacomoroscongocook-islandscosta-ricacote-divoire-ivory-coastCroatiacubacyprusczech-republicdarsalaamdemocratic-peoples-rep-north-koreademocratic-republic-of-the-congo-kinshasadenmarkdjiboutidodomadominicadominican-republicdr-congodubaieast-timor-timor-lesteecuadoregyptegyptyel-salvadorenglandequatorial-guineaequitorial-guineaeritreaestoniaeswatiniethiopiafalkland-islandsfaroe-islandsfederal-states-of-moldovafijifinlandFloridafrancefrench-guianafrench-polynesiafrench-southern-territoriesgabongazageorgiagermanyghanagibraltargomaGreecegreenlandgrenadaguadeloupeguamguatemalaguineaguinea-bissauguyanahabarihaitiholy-seehondurashong-konghoustonhungaryicelandindiaindonesiaIowairaniran-islamic-republic-ofiraqirelandisraelitaliaitalyivory-coastjamaicajapanjordankaratukazakhstankilimanjarokinshasakiribatikiswahilikoreakosovokuwaitkyrgyzstanlaolatvia-lebanon-lesotho-liberia-libya-liechtenstein-lithuania-luxembourgLebanonliberiamacaumadagascarmalawimalaysia-maldivesMalimaltamarshall-islands-martinique-mauritania-mauritiusmassechutesmayottemazingirambeyamerumexicomiamimicronesiamonaco-mongolia-montenegromontserratmoroccomozambique-myanmarmtwaramwanzanamibianaurunepalnetherlandsnetherlands-antillesnevadanew-caledonianew-zealandnewyorknicaraguanigernigerianiuenorth-macedonianorthern-mariana-islandsnorwayomanpakistanpalaupalestinepalestinian-territoriespanamapapua-new-guineaparaguaypeoples-democratic-republicperuphiladhephiaphilipiansPhilippinespitcairn-islandpolandpoliticsPortugalpuerto-ricoqatar Norrbottens lanrepublic-of-brazzavillerepublic-of-south-koreareunion-islandromaniaRussiarussian-federationrwandasahara-occidentalsaint-kitts-and-nevissaint-luciasaint-vincent-and-the-grenadinessamoasan-marinosao-tome-and-principesaudi-arabiasaudiarabiascotlandSenegalserbiaseychellessierra-leoneSingaporesingidaslovakia-slovak-republicsloveniasolomon-islandssomaliasouthafricaspainsri-lankasudansurinameswaziland-eswatiniswedenswitzerlandsyriasyrian-arab-republictaborataiwan-republic-of-chinatajikistantanzaniatexasthailandthe-gambiatibettimor-leste-east-timortogotokelautongatorontotrinidad-and-tobagotunisiaturkeyturkmenistanturks-and-caicos-islandstuvaluugandaunited-arabs-emiratesunited-kingdomunited-statesuruguayuzbekistanvancovervanuatuvatican-city-state-holy-seevenezuelavietnamvirgin-islands-britishvirgin-islands-u-swallis-and-futuna-islands

CantonaDigital
CantonaDigital

Listen Live Radio Fortune Africa
Ukweli Na Burudani.

-Be ready to be Impacted, Inspired & Empowered.

-Keep watching our Channels

Cantona Cast Television,

Fortune Television Network (FTN)

Donation
Paypal https://www.paypal.com/donate/?hosted_button_id=6EKXMLNW8W6A2&fbclid=IwY2xjawQxeChleHRuA2FlbQIxMABicmlkETFRdkNBRndpclRDQTB5bXZZc3J0YwZhcHBfaWQQMjIyMDM5MTc4ODIwMDg5MgABHq960uGsyU3ABRIBc2h-iXGhHATvuEqe55gFsQ-rDb0fT-Z7SIQ3TV8LnkpD_aem_ybU2SvBlvyqrVsS9NAczRw

An attitude determines an altitude.

All Rights Reserved © The Cantona Group PLC||2025

5,344 posts
0 followers

Fediverse Followers


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a Reply