Radio Fortune Africa -Ukweli na Burudani
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa
Na Mwandishi RFA ,Imeandikwa: March 18, 2026 05:09 (EAT)



Mkuu wa jeshi la Iran Amir Hatami ametishia kuanza kulipiza kisasi “madhubuti” kwa mauaji ya mkuu wa usalama Ali Larijani katika shambulio la anga la Israel.
Mkuu wa jeshi la Iran atishia kulipiza kisasi mauaji ya Larijani

Mkuu wa jeshi la Iran Amir Hatami ametishia kuanza kulipiza kisasi “madhubuti” kwa mauaji ya mkuu wa usalama Ali Larijani katika shambulio la anga la Israel.
“Kwa wakati na mahali mwafaka, jibu la uamuzi, la kuzuia, na la kujutia litatolewa kwa Marekani ya jinai na utawala wa Kizayuni wenye kiu ya umwagaji damu,” Hatami alisema katika taarifa yake.
Aliongeza kuwa Larijani na vifo vya “mashahidi wengine vitalipizwa kisasi”.
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran, ambao ni tofauti na jeshi, wanasema tayari wamerusha makombora katikati mwa Israeli “kulipiza kisasi” kwa kifo cha Larijani, shirika la habari la AFP linaripoti.
Marekani na Israel dhidi ya Iran: Yaliotokea mapema leo hadi kufiki sasa

Haya ndiyo matukio ya hivi punde tunapoendelea kukuletea habari za moja kwa moja za vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran:
- Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimethibitisha kuuawa kwa Ali Larijani, katibu mashuhuri wa Baraza Kuu la Usalama la Kitaifa la Iran, katika shambulio la anga.
- Larijani ndiye afisa mkuu zaidi kuuawa tangu Kiongozi Mkuu Ali Khamenei
- Mkuu wa jeshi la Iran ameapa kulipiza kisasi kwa mauaji ya Larijani kwa kutishia “jibu la maamuzi, la kuzuia na la kujutia”.
- Walinzi wa Mapinduzi wa Iran, ambao ni tofauti na jeshi, wanasema tayari wamerusha makombora katikati mwa Israeli “kulipiza kisasi” kifo cha Larijani, AFP inaripoti.
- Huko Israel, watu wawili wamekufa kufuatia shambulio la kombora la Iran huko Tel Aviv
- Jeshi la Israel linaendelea kushambulia maeneo ya Hezbollah nchini Lebanon.
- Wizara ya Afya ya Lebanon imesema takriban watu sita wameuawa na wengine 24 kujeruhiwa katika mashambulizi mawili ya Israel katikati mwa Beirut, AFP inaripoti.
- Shirika la Umoja wa Mataifa linasema kuwa kombora lilipiga mtambo wa nyuklia wa Iran, lakini hakukuwa na uharibifu wowote.
- Jeshi la Marekani limesema kuwa limeshambulia maeneo ya makombora ya Iran karibu na mlango wa bahari wa Hormuz
- Naye Donald Trump ameikashifu Nato na washirika wengine, na kudai Marekani “haihitaji tena au kutamani” msaada wao katika vita vya Iran baada ya hapo awali kuwaomba msaada.
Katika picha: Matukio ya baada ya mashambulizi mabaya ya Iran huko Tel Aviv
Tunapata picha mpya kutoka Tel Aviv za uharibifu kutokana na mashambulizi ya Irani ambayo yalisababisha vifo vya takriban watu wawili.



afghanistan, africa, albania, algeria, America, american-samoa, andorra, angola, anguilla, antarctica, antigua-and-barbuda, argentina, armenia, aruba, arusha, australia, austria, azerbaijan, bahamas, bahrain, bangladesh, barbados, belarus, Belgium, belize, benin, bermuda, bhutan, bolivia, bosnia-and-herzegovina, botswana, Boukinafaso, brazil, brunei-darussalam, bulgaria, burkina-faso, burma, burundi, california, cambodia, cameroon, canada, cape-verde, cayman-islands, central-african-republic, Chad, chicago, chile, china, christmas-island, cocos-keeling-islands, colombia, comoros, congo, cook-islands, costa-rica, cote-divoire-ivory-coast, Croatia, cuba, cyprus, czech-republic, darsalaam, democratic-peoples-rep-north-korea, democratic-republic-of-the-congo-kinshasa, denmark, djibouti, dodoma, dominica, dominican-republic, dr-congo, dubai, east-timor-timor-leste, ecuador, egypt, egypty, el-salvador, england, equatorial-guinea, equitorial-guinea, eritrea, estonia, eswatini, ethiopia, falkland-islands, faroe-islands, federal-states-of-moldova, fiji, finland, Florida, france, french-guiana, french-polynesia, french-southern-territories, gabon, gaza, georgia, germany, ghana, gibraltar, goma, Greece, greenland, grenada, guadeloupe, guam, guatemala, guinea, guinea-bissau, guyana, habari, haiti, holy-see, honduras, hong-kong, houston, hungary, iceland, india, indonesia, Iowa, iran, iran-islamic-republic-of, iraq, ireland, israel, italia, italy, ivory-coast, jamaica, japan, jordan, karatu, kazakhstan, kilimanjaro, kinshasa, kiribati, kiswahili, korea, kosovo, kuwait, kyrgyzstan, lao, latvia-lebanon-lesotho-liberia-libya-liechtenstein-lithuania-luxembourg, Lebanon, liberia, macau, madagascar, malawi, malaysia-maldives, Mali, malta, marshall-islands-martinique-mauritania-mauritius, massechutes, mayotte, mazingira, mbeya, meru, mexico, miami, micronesia, monaco-mongolia-montenegro, montserrat, morocco, mozambique-myanmar, mtwara, mwanza, namibia, nauru, nepal, netherlands, netherlands-antilles, nevada, new-caledonia, new-zealand, newyork, nicaragua, niger, nigeria, niue, north-macedonia, northern-mariana-islands, norway, oman, pakistan, palau, palestine, palestinian-territories, panama, papua-new-guinea, paraguay, peoples-democratic-republic, peru, philadhephia, philipians, Philippines, pitcairn-island, poland, politics, Portugal, puerto-rico, qatar, Norrbottens lan, republic-of-brazzaville, republic-of-south-korea, reunion-island, romania, Russia, russian-federation, rwanda, sahara-occidental, saint-kitts-and-nevis, saint-lucia, saint-vincent-and-the-grenadines, samoa, san-marino, sao-tome-and-principe, saudi-arabia, saudiarabia, scotland, Senegal, serbia, seychelles, sierra-leone, Singapore, singida, slovakia-slovak-republic, slovenia, solomon-islands, somalia, southafrica, spain, sri-lanka, sudan, suriname, swaziland-eswatini, sweden, switzerland, syria, syrian-arab-republic, tabora, taiwan-republic-of-china, tajikistan, tanzania, texas, thailand, the-gambia, tibet, timor-leste-east-timor, togo, tokelau, tonga, toronto, trinidad-and-tobago, tunisia, turkey, turkmenistan, turks-and-caicos-islands, tuvalu, uganda, united-arabs-emirates, united-kingdom, united-states, uruguay, uzbekistan, vancover, vanuatu, vatican-city-state-holy-see, venezuela, vietnam, virgin-islands-british, virgin-islands-u-s, wallis-and-futuna-islands
All Rights Reserved © The Cantona Group PLC||2026
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.