Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Nchini Guinea, operesheni ya “kubomoa” “maeneo ya uhalifu” inaendelea. Ilizinduliwa tarehe 9 Desemba, inalenga kupambana na uhalifu na mauaji yaliyopangwa,… Read more “Guinea: Operesheni ya kupambana na uhalifu yazua mvutano na Sierra Leone”
Tag: news
Jamhuri 2024: Kindiki amsifia Ruto kwa kusaka Raila na Kenyatta
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Naibu Rais Kithure Kindiki. Picha|Maktaba NAIBU Rais Kithure Kindiki amemmiminia sifa bosi wake, Rais William Ruto akimtaja kama kiongozi “anayethamini… Read more “Jamhuri 2024: Kindiki amsifia Ruto kwa kusaka Raila na Kenyatta”
Niger yapoteza wanajeshi wake 10 kufuatia shambulio la watu wenye silaha
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Wanajeshi 10 wa Niger, wameuawa na wengine sana wamejeruhiwa baada ya kushambuliwa na watu wenye silaha, katika mpaka wa nchi… Read more “Niger yapoteza wanajeshi wake 10 kufuatia shambulio la watu wenye silaha”
Ufaransa: Emmanuel Macron aonyesha ‘nia yake ya kutovunja Bunge la taifa’ hadi 2027
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Emmanuel Macron ameelezea siku ya Jumanne, Desemba 10 kwa wakuu wa vyama vya siasa waliokusanyika kwa zaidi ya saa mbili… Read more “Ufaransa: Emmanuel Macron aonyesha ‘nia yake ya kutovunja Bunge la taifa’ hadi 2027”
Uganda: Kizza Besigye kuendelea kuzuiliwa katika gereza la Luzira hadi Januari 7, 2025
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Kesi ya madai ya kupatikana akiwa na silaha, akiwa jijini Nairobi, nchini Kenya, inayomkabili kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Uganda… Read more “Uganda: Kizza Besigye kuendelea kuzuiliwa katika gereza la Luzira hadi Januari 7, 2025”
Kenya: Kilichojiri katika mkutano kati ya rais Ruto na Uhuru
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Rais William Ruto ametembelea mtangulizi wake Uhuru Kenyatta nyumbani kwa familia yake huko Gatundu, ikiwa ni maongezi ya kwanza ya… Read more “Kenya: Kilichojiri katika mkutano kati ya rais Ruto na Uhuru”
DRC: Moise Katumbi na Martin Fayulu waweka misingi ya kutetea Katiba
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, wakati huu mjadala ukiendelea kuhusu katiba, viongozi wa upinzani Moise Katumbi na Martin… Read more “DRC: Moise Katumbi na Martin Fayulu waweka misingi ya kutetea Katiba”
Burundi: Upinzani wakosoa maagizo ya rais Ndayishimiye kuhusu uchaguzi wa ubunge
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Wanasiasa wa upinzani nchini Burundi, wamekosoa vikali maagizo ya rais Evariste Ndayishimiye kuhusu uchaguzi wa ubunge ambao umepangwa kufanyika Juni… Read more “Burundi: Upinzani wakosoa maagizo ya rais Ndayishimiye kuhusu uchaguzi wa ubunge”
John Dramani Mahama, rais mteule wa Ghana ni nani?
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa John Dramani Mahama ni rais wa zamani aliyehudumu kama rais kati ya mwaka 2012 hadi 2017 na ameshinda uchaguzi huu… Read more “John Dramani Mahama, rais mteule wa Ghana ni nani?”
Sudan Kusini: Mazungumzo ya amani yarejelewa tena jijini Nairobi
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Baada ya miezi minne na kufutwa kazi kwa ujumbe wa serikali, mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yaliyokwama yameanza tena… Read more “Sudan Kusini: Mazungumzo ya amani yarejelewa tena jijini Nairobi”