Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Moja kwa moja,Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais Barack na Michelle Obama wanasema Bi Harris ana “uwezo ambao unahitajika katika kipindi hiki… Read more “Afrika Leo Mchana”
Tag: mombasa
Jiandae kwa kipindi Cha Matumaini-Hii Ni Idhaa Ya Kiswahili Radio Fortune Africa.
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Maombolezo 3:31-33 Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtuHata milele.Maana ajapomhuzunisha atamrehemu,Kwa kadiri ya wingi wa huruma zake.Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.Wala kuwahuzunisha. Nimehimizwa moyoni sana kuandika… Read more “Jiandae kwa kipindi Cha Matumaini-Hii Ni Idhaa Ya Kiswahili Radio Fortune Africa.”
Habari za Afrika Leo Mchana.
Radio Fortune Africa -Afrika Leo Mchana https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Natumai U Buheri wa Afya Popote pale Duniani,Karibu Katika Afrika Leo Mchana Jina Langu Cantona Joseph Moja kwa moja,Netanyahu atetea… Read more “Habari za Afrika Leo Mchana.”
Babu Owino aagizwa kufika katika makao makuu DCI Nchini Kenya kuhojiwa.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino ameitwa kufika mbele ya wapelelezi wa Idara ya Uchunguzi wa Jinai (DCI) kuhojiwa kuhusiana… Read more “Babu Owino aagizwa kufika katika makao makuu DCI Nchini Kenya kuhojiwa.”
Umri sahihi wa kupata jiko-Marriage Mathematics.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa BAO LA ASUBUI – NA CANTONA JOSEPH UMRI GANI UNAFAA KWA KIJANA KUOA? Umri mzuri wa kuoa au kuolewa ni pale utakapokuwa umekomaa… Read more “Umri sahihi wa kupata jiko-Marriage Mathematics.”
Mdomo unaoziba ni hatima iliyoziba!!!
Radio Fortune Africa -Bao La Asubui https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph Wapo watu wengi sana ambao wanahitaji MSAADA na wanatamani KUONGEA, ila wanaogopa sana KUHUKUMIWA. Dunia yetu imejaa… Read more “Mdomo unaoziba ni hatima iliyoziba!!!”
Sekta ya utali ya hathirika kutokana na maandamano.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph SEKTA ya utalii mjini Mombasa huenda ikazidi kudorora iwapo maandamano dhidi ya serikali yataendelea. Wadau katika sekta hiyo wamesema utalii… Read more “Sekta ya utali ya hathirika kutokana na maandamano.”
Mikakati Kukomeshwa ukatili wa watoto Nchini Kenya.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph KATIBU katika Wizara ya Leba na Ulinzi wa Jamii, Bw Joseph Motari amesema kuwa serikali inaendelea kuimarisha mikakati kukomesha ukatili… Read more “Mikakati Kukomeshwa ukatili wa watoto Nchini Kenya.”
Magavana wa kauti 6 Pwani ya Kenya walenga Uropa kwa maendeleo.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph ZIARA ya magavana sita wa Pwani nchini Italia imewavunia wawekezaji wa kimataifa ambao watakita kambi nchini Kenya mwezi ujao. Gavana… Read more “Magavana wa kauti 6 Pwani ya Kenya walenga Uropa kwa maendeleo.”
Madiwani wa Wiper wamshauri Kalonzo Musyoka.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph KUNDI la Wawakilishi wa Bunge la Kaunti (MCAs) ya Kitui na Wanachama wa Wiper wamemtaka kiongozi wao, Kalonzo Musyoka, kujiondoa… Read more “Madiwani wa Wiper wamshauri Kalonzo Musyoka.”