Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph RAIS William Ruto ameonekana kurejelea shughuli na hulka yake ya kawaida huku vijana wakiendeleza wimbi jipya la maandamano ya kupinga… Read more “Wimbi Jipya la Maandamano Nchini Kenya.”
Tag: kwale
Gavana Mwangaza wa Meru Nchini Kenya katika mizani tena.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph GAVANA wa Meru, Kawira Mwangaza, huenda akaondolewa mamlakani katika jaribio la mara ya nne, madiwani mara hii wakimlaumu kwa makosa… Read more “Gavana Mwangaza wa Meru Nchini Kenya katika mizani tena.”
Shilingi ya Kenya ingali dhabiti dhidi ya dola ya Marekani.
Radio Fortune Africa -Uchumi Na Biashara. https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph SHILINGI ya Kenya ilisalia thabiti wiki jana dhidi ya dola, ikichochewa na mapato kutoka kwa sekta ya… Read more “Shilingi ya Kenya ingali dhabiti dhidi ya dola ya Marekani.”
Inspekta mkuu wa Jeshi la polisi Nchini Kenya ajiuzulu.
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph -Radio Fortune Africa #AfrikaLeoJioni INSPEKTA Jenerali wa polisi Japhet Koome amezidiwa na presha kutoka wa umma na kujiuzulu, Rais William Ruto ametangaza. Msemaji… Read more “Inspekta mkuu wa Jeshi la polisi Nchini Kenya ajiuzulu.”
Shinikizo zaidi kutoka kwa Wana rika wa Gen z Nchini Kenya.
Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Afrika Leo Mchana-Radio Fortune Africa KUVUNJA baraza la mawaziri bado hakujaridhisha Gen Z na itabidi Rais William Ruto atakeleze mabadiliko katika idara ya… Read more “Shinikizo zaidi kutoka kwa Wana rika wa Gen z Nchini Kenya.”
Tabia zitakazokupotezea hela-Radio Fortune Africa
Kuna tabia ukiwa nazo zitakufanya upoteze hela nyingi sana… Kila siku kuna watu wanajiuliza mbina mimi nikipata pesa hazikai. Ukipata pesa kidogo zinapotea. kuna watu wengine wanaaami… Read more “Tabia zitakazokupotezea hela-Radio Fortune Africa”
Radio Fortune Africa -Bao la Asubui.
Na Cantona Joseph HUENDA Kenya ikanyimwa mikopo baada ya kushushwa hadhi kwenye viwango vya Shirika la Kimataifa la kutathmini Madeni ya Mataifa na Utoaji Mikopo, Moody’s. Ripoti… Read more “Radio Fortune Africa -Bao la Asubui.”
Ilham Omar,mbunge wa Marekani amelaumu hazina ya fedha IMF,kwa ushuru inayolimbikiziwa wakenya.
Afrika Leo Mchana-Radio Fortune Africa. Na Cantona Joseph MBUNGE wa Amerika Ilhan Omar amelaumu Hazina ya Fedha ya Kimataifa (IMF) kwa misururu ya ushuru iliyolimbikiziwa Wakenya katika… Read more “Ilham Omar,mbunge wa Marekani amelaumu hazina ya fedha IMF,kwa ushuru inayolimbikiziwa wakenya.”
Mke wa waziri mkuu wa Israeli aonya wakuu wa Jeshi kwa mpango wa mapinduzi.
Afrika Leo Asubui-Radio Fortune Africa Na Cantona Joseph Mke wa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amewashutumu maafisa wakuu wa jeshi kwa kujaribu kupanga mapinduzi dhidi ya… Read more “Mke wa waziri mkuu wa Israeli aonya wakuu wa Jeshi kwa mpango wa mapinduzi.”
Raila Odinga asikitishwa na visa vya mauaji vijana wandaamanaji na polisi.
Afrika Leo Jioni-Radio Fortune Africa Na Cantona Joseph KINARA wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga ameelezea kusikitishwa kwake na visa vya mauaji ya vijana yanayotajwa kutekelezwa… Read more “Raila Odinga asikitishwa na visa vya mauaji vijana wandaamanaji na polisi.”