Skip to content
cantonadigital

cantonadigital

Tag: kigoma

Jiandae kwa kipindi Cha Matumaini-Hii Ni Idhaa Ya Kiswahili Radio Fortune Africa.

https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Maombolezo 3:31-33 Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtuHata milele.Maana ajapomhuzunisha atamrehemu,Kwa kadiri ya wingi wa huruma zake.Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.Wala kuwahuzunisha. Nimehimizwa moyoni sana kuandika… Read more “Jiandae kwa kipindi Cha Matumaini-Hii Ni Idhaa Ya Kiswahili Radio Fortune Africa.”

July 26, 2024 by CantonaDigital

Umri sahihi wa kupata jiko-Marriage Mathematics.

Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa BAO LA ASUBUI – NA CANTONA JOSEPH UMRI GANI UNAFAA KWA KIJANA KUOA? Umri mzuri wa kuoa au kuolewa ni pale utakapokuwa umekomaa… Read more “Umri sahihi wa kupata jiko-Marriage Mathematics.”

July 23, 2024 by CantonaDigital

Gen Z mnikome!!!

Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph Gen Z wanadai Rais anawachezea shere baada ya kutangaza nusu ya baraza lake la mawaziri. Mnamo Ijumaa iliyopita, Rais Ruto… Read more “Gen Z mnikome!!!”

July 22, 2024 by CantonaDigital

Mikakati Kukomeshwa ukatili wa watoto Nchini Kenya.

Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph KATIBU katika Wizara ya Leba na Ulinzi wa Jamii, Bw Joseph Motari amesema kuwa serikali inaendelea kuimarisha mikakati kukomesha ukatili… Read more “Mikakati Kukomeshwa ukatili wa watoto Nchini Kenya.”

July 19, 2024 by CantonaDigital

Mke wa waziri mkuu wa Israeli aonya wakuu wa Jeshi kwa mpango wa mapinduzi.

Afrika Leo Asubui-Radio Fortune Africa Na Cantona Joseph Mke wa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amewashutumu maafisa wakuu wa jeshi kwa kujaribu kupanga mapinduzi dhidi ya… Read more “Mke wa waziri mkuu wa Israeli aonya wakuu wa Jeshi kwa mpango wa mapinduzi.”

June 26, 2024 by CantonaDigital

Nguvu ya Gen Z? Vijana waandamanaji wakilazimisha mabadiliko ushuru Kenya.

Afrika Leo Mchana-Radio Fortune Africa . Na Cantona Joseph,Juni 21,2024. Vijana wa Kenya waliingia barabarani katika jiji kuu la Nairobi kupinga msururu wa ushuru mpya katika Muswada… Read more “Nguvu ya Gen Z? Vijana waandamanaji wakilazimisha mabadiliko ushuru Kenya.”

June 21, 2024 by CantonaDigital

Mswada Nchini Kenya waleta kimbiakimbia miji tofauti.

Na Cantona Joseph:Juni 20,2024 Kenya: Maandamano dhidi ya muswada tata wa fedha yaendelea Waandamanaji mjini Nairobi wamesema wataelekea kwenye ukumbi wa Bunge la Taifa huku kukiwa na… Read more “Mswada Nchini Kenya waleta kimbiakimbia miji tofauti.”

June 20, 2024 by CantonaDigital

Uchaguzi Afrika Kusini ANC yajiandaa kugawana madaraka

Chama tawala wa ANC kimepata asilimia 40 ya kura, tofauti na asilimia 57.5 katika uchaguzi wa mwaka 2019. Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa  amewahi kupinga wazo… Read more “Uchaguzi Afrika Kusini ANC yajiandaa kugawana madaraka”

June 1, 2024 by CantonaDigital
Blog at WordPress.com.
Privacy & Cookies: This site uses cookies. By continuing to use this website, you agree to their use.
To find out more, including how to control cookies, see here: Cookie Policy
  • Subscribe Subscribed
    • cantonadigital
    • Join 31 other subscribers
    • Already have a WordPress.com account? Log in now.
    • cantonadigital
    • Subscribe Subscribed
    • Sign up
    • Log in
    • Report this content
    • View site in Reader
    • Manage subscriptions
    • Collapse this bar