Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Jeshi la Israel lilitangaza vifo vya wanajeshi wake saba katika mapigano kusini mwa Gaza siku ya Jumanne, katika tukio la… Read more “Ni ‘Siku ngumu kwa watu wa Israel’ – Netanyahu”
Tag: education
BBC iligundua nini kuhusu maandamano ya mwaka jana?
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Maandamano ya leo lengo lake ni kuwakumbuka waliouawa tarehe 25 Juni 2024, wakati waandamanaji walipovamia bunge kutaka kusitishwa kwa nyongeza… Read more “BBC iligundua nini kuhusu maandamano ya mwaka jana?”
Iran yatoa Masharti, wakati Trump akidai kusitishwa kwa mapigano
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyed Abbas Araghchi, ameweka ujumbe hivi karibuni kwenye mtandao wa X akisema kwamba… Read more “Iran yatoa Masharti, wakati Trump akidai kusitishwa kwa mapigano”
“Sijahukumiwa kifo lakini nakaa na waliohukumiwa kifo” – Lissu
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, ameeleza kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya kutohukumiwa kosa lolote hadi sasa, amekuwa akiwekwa… Read more ““Sijahukumiwa kifo lakini nakaa na waliohukumiwa kifo” – Lissu”
Uchaguzi Burundi: Kanisa Katoliki lasema uchaguzi wa wabunge ulikumbwa na dosari nyingi
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Katika taarifa yake, Kanisa Katoliki la Burundi limesema waangalizi wake walipata dosari nyingi katika uchaguzi wa wabunge na manispaa na… Read more “Uchaguzi Burundi: Kanisa Katoliki lasema uchaguzi wa wabunge ulikumbwa na dosari nyingi”
Kwanini ‘kazi za pembeni’ zimekuwa kitu cha kawaida kwa Wakenya wa pato la wastani
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Kwa mujibu wa ripoti ya Geopol iliyofanyia utafiti sekta ya biashara na ajira nchini Kenya, asilimia 71 ya Wakenya walio… Read more “Kwanini ‘kazi za pembeni’ zimekuwa kitu cha kawaida kwa Wakenya wa pato la wastani”
Maafisa wa polisi wasimamishwa kazi Kenya kwa kifo cha Albert Ojwang
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Huduma ya Kitaifa ya Polisi (NPS) nchini Kenya imewasimamisha kazi maafisa watano walioko katika kituo kikuu cha polisi mjini Nairobi… Read more “Maafisa wa polisi wasimamishwa kazi Kenya kwa kifo cha Albert Ojwang”
Usuhuba wa Trump na Musk unaonekana kumalizika rasmi baada ya kutupiana vitisho na matusi
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Usuhuba wa Rais wa Marekani Donald Trump na mfanyabiashara tajiri zaidi duniani Elon Musk sasa unaonekana kumalizika baada ya wawili… Read more “Usuhuba wa Trump na Musk unaonekana kumalizika rasmi baada ya kutupiana vitisho na matusi”
Umoja wa Mataifa wataka uchunguzi kuhusu mauaji karibu na eneo la usambazaji wa misaada Gaza
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka uchunguzi huru ufanyike kuhusu mauaji ya Wapalestina karibu na kituo cha kusambaza misaada… Read more “Umoja wa Mataifa wataka uchunguzi kuhusu mauaji karibu na eneo la usambazaji wa misaada Gaza”
Ndege ya Japan yatua kwa dharura baada ya mtu mmoja kujaribu kufungua mlango
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Ndege ya Japan iliyokuwa ikitoka Tokyo kuelekea Texas ililazimika kutua kwa dharura baada ya abiria kujaribu kufungua moja ya milango… Read more “Ndege ya Japan yatua kwa dharura baada ya mtu mmoja kujaribu kufungua mlango”