Skip to content
cantonadigital

cantonadigital

Tag: business

Ni kipindi Kipya Cha Matumaini.Tulianza sio kwa kuona njia bali kutii sauti ya Mungu.

Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Aliyetufikisha hapa hata kule atatufikisha. Matendo ya Mitume 17:28 Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile… Read more “Ni kipindi Kipya Cha Matumaini.Tulianza sio kwa kuona njia bali kutii sauti ya Mungu.”

July 30, 2024July 30, 2024 by CantonaDigital

Shinikizo zaidi kutoka kwa Wana rika wa Gen z Nchini Kenya.

Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Afrika Leo Mchana-Radio Fortune Africa KUVUNJA baraza la mawaziri bado hakujaridhisha Gen Z na itabidi Rais William Ruto atakeleze mabadiliko katika idara ya… Read more “Shinikizo zaidi kutoka kwa Wana rika wa Gen z Nchini Kenya.”

July 12, 2024 by CantonaDigital

Afrika Leo Mchana/Wanaume hawana makazi-Radio Fortune Africa

Na Cantona Joseph WANAUME wanaongoza kwa idadi ya watu wasio na makao nchini, inasema ripoti mpya. Kulingana na ripoti iliyotolewa na Baraza la Kitaifa kuhusu Idadi ya… Read more “Afrika Leo Mchana/Wanaume hawana makazi-Radio Fortune Africa”

July 11, 2024 by CantonaDigital

DRC ndio mfalme wa soka Afrika Mashariki.

Afrika Leo Mchana-Radio Fortune Africa. Na Cantona Joseph;Juni 21,2024 DRC yaongoza kwa ubora wa Soka Afrika Mashariki Kulingana na viwango vya ubora wa soka ulivyotolewa na Shirikisho la… Read more “DRC ndio mfalme wa soka Afrika Mashariki.”

June 21, 2024 by CantonaDigital

Skills every professional should learn in 2024.

SKILLS EVERY PROFESSIONAL SHOULD LEARN IN 2024. All Rights Reserved © Cantona Group Ltd|2024

June 21, 2024 by CantonaDigital

Siku ya wakimbizi duniani.

Na Cantona Joseph Juni 20,2024 Nafasi ya kuonyesha utu. Licha ya hali yao ya kukata tamaa, mwelekeo wa kimataifa umeonyesha kuna ongezeko la chuki dhidi ya wakimbizi… Read more “Siku ya wakimbizi duniani.”

June 20, 2024 by CantonaDigital

Jacob Zuma wa Afrika Kusini hajaridhika.

Na Cantona Joseph:17 Juni 2024 Zuma kwenda katika mahakama ya kimataifa kuhusu matokeo ya uchaguzi wa SA Chama chake cha MK kinashutumu Tume ya Uchaguzi na Mahakama… Read more “Jacob Zuma wa Afrika Kusini hajaridhika.”

June 17, 2024June 17, 2024 by CantonaDigital

Jinsi ufugaji katika vizimba unatishia simba wa Afrika Kusini.

Na Cantona Joseph :Juni 17,2024 Wahifadhi wa Afrika Kusini wanaishinikiza serikali kutekeleza uamuzi wa baraza la mawaziri kukomesha ufugaji wa simba waliotekwa, ambao umezaa tasnia inayoonyesha ukiukaji… Read more “Jinsi ufugaji katika vizimba unatishia simba wa Afrika Kusini.”

June 17, 2024June 17, 2024 by CantonaDigital

Viongozi katika kauti ya Samburu walaani ongezeko la visa vya uhalifu eneo hilo.

VIONGOZI katika Kaunti ya Samburu wameghadhabishwa na kulaani vikali ongezeko la visa vya mauaji ya kinyama yanayotekelezwa kiholela na watu wanaoshukiwa kuwa maafisa wa polisi. Haya yamejiri… Read more “Viongozi katika kauti ya Samburu walaani ongezeko la visa vya uhalifu eneo hilo.”

June 16, 2024 by CantonaDigital

Wanaoshukiwa kuwa waasi wa ADF wameuwa zaidi ya watu 20 katika jimbo la Kivu Kaskazini DRC

Na Cantona Joseph:13 Juni, 2024 Watu wanaoshukiwa kuwa waasi wa Kiislamu waliwauwa zaidi ya watu 20 katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya… Read more “Wanaoshukiwa kuwa waasi wa ADF wameuwa zaidi ya watu 20 katika jimbo la Kivu Kaskazini DRC”

June 16, 2024 by CantonaDigital

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Blog at WordPress.com.
cantonadigital
Blog at WordPress.com.
Privacy & Cookies: This site uses cookies. By continuing to use this website, you agree to their use.
To find out more, including how to control cookies, see here: Cookie Policy
  • Subscribe Subscribed
    • cantonadigital
    • Join 31 other subscribers
    • Already have a WordPress.com account? Log in now.
    • cantonadigital
    • Subscribe Subscribed
    • Sign up
    • Log in
    • Report this content
    • View site in Reader
    • Manage subscriptions
    • Collapse this bar
 

Loading Comments...