Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Muhimbili hospital Maelezo ya picha,Asilimia 30 mpaka 40 ya wanawake wanaohudhuria kliniki hospitalini hapo wana tatizo hilo “Kwa kweli tumefurahi… Read more “Tanzania: Kituo cha kupandikiza mimba Muhimbili kinavyobeba matumaini ya wanaotafuta watoto”
Tag: business
Yafahamu mataifa 5 tajiri na masikini Barani Afrika 2024
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa ara la Afrika linatajwa kuwa maskini zaidi duniani, huku umaskini wa bara hilo ukichangiwa na hali ya uchumi kuyumba, ukosefu… Read more “Yafahamu mataifa 5 tajiri na masikini Barani Afrika 2024”
Gabon : Ali Bongo Ondimba amethibitisha kuachana kabisa na siasa
Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo Ondimba, aliyeondolewa madarakani na jeshi mwaka uliopita, amesema anaachana na siasa kabisa na kutaka kuachiwa huru kwa mkewe na mtoto… Read more “Gabon : Ali Bongo Ondimba amethibitisha kuachana kabisa na siasa”
Afrika Leo Jioni
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Ungana nasi kila siku ya Juma kwa matangazo yetu ya Afrika Leo Alfajiri saa kumi na mbili alfajiri ,Afrika Leo… Read more “Afrika Leo Jioni”
Chanjo 500,000 ya mpox kutolewa kwa mataifa ya Afrika kupambana na maambukizo
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://radioslist.com/online/ke/fortuneafrica.html#infomore Muungano wa Kimataifa wa kutoa chanjo Gavi, umeingia kwenye makubliano na kampuni ya kutengeza dawa ya Bavarian Nordic yenye makao… Read more “Chanjo 500,000 ya mpox kutolewa kwa mataifa ya Afrika kupambana na maambukizo”
Serikali yaahidi kutoa vitambulisho vya kitaifa ndani ya siku 10
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa UTAPATA kitambulisho chako cha kitaifa siku 10 baada kuwasilisha maombi ikiwa ahadi mpya iliyotolewa na serikali itatimizwa. Katibu wa Wizara… Read more “Serikali yaahidi kutoa vitambulisho vya kitaifa ndani ya siku 10”
DRC: Wanne wafariki na zaidi ya arobaini hawajulikani walipo baada ya boti kuzama
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Takriban watu wanne wamefariki na wengine zaidi ya 40 hawajulikani waliko baada ya boti iliyotengenezwa kwa mbao kuzama katika Mto… Read more “DRC: Wanne wafariki na zaidi ya arobaini hawajulikani walipo baada ya boti kuzama”
Serikali kununua gunia la mahindi kwa Sh4000 kinyume na matarajio ya wakulima ya Sh6000
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa SERIKALI itanunua mahindi kutoka kwa wakulima kwa Sh4,000 sawa na bei ya mwaka wa 2023, ingawa wakulima walitarajia bei ya… Read more “Serikali kununua gunia la mahindi kwa Sh4000 kinyume na matarajio ya wakulima ya Sh6000”
Ruto asukumwa kumlinda Gachagua asidhulumiwe kisiasa
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa WANDANI wa Naibu Rais Rigathi Gachagua wameandaa malalamishi sita wanayodai yanasababisha misukosuko ndani ya serikali huku wandani wa Rais William… Read more “Ruto asukumwa kumlinda Gachagua asidhulumiwe kisiasa”
Raila Odinga ashutumiwa na Gen Z, kwenye barua Agwambo kaa Home.
Radio Fortune Africa-Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Kiongozi wa Muungano wa Azimio nchini Kenya Raila Odinga alikuwa akikabiliana na shutuma kutoka kwa vijana kuhusu pendekezo lake la kushiriki mazungumzo… Read more “Raila Odinga ashutumiwa na Gen Z, kwenye barua Agwambo kaa Home.”