Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesema imeanza mazungumzo na Zambia siku moja baada ya jirani yake wa kusini mwa Afrika kufunga mpaka wao wa pamoja, na kuziba… Read more “Zambia yafunga mpaka wake na DRC Congo.”
Tag: drc-congo
Bao La Asubui-Agosti 1,2024
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Hawakudhuru Ila HAWAKUSAIDII… Kwenye maisha kuna watu utakutana nao ambao… …wako kwenye KUNDI LA KIPEKEE. Yaani hawa ni wale ambao… Read more “Bao La Asubui-Agosti 1,2024”
Yafahamu mataifa 10 barani Afrika yenye uwezo mkubwa wa kijeshi 2021
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Afrika Leo Jioni-Na Cantona Joseph Vipindi vya Radio Fortune Africa Uwezo wa kijeshi ni muhimu katika taifa lolote endelevu linalotaka kulinda mipaka yake… Read more “Yafahamu mataifa 10 barani Afrika yenye uwezo mkubwa wa kijeshi 2021”
Jiandae kwa kipindi Cha Matumaini-Hii Ni Idhaa Ya Kiswahili Radio Fortune Africa.
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Maombolezo 3:31-33 Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtuHata milele.Maana ajapomhuzunisha atamrehemu,Kwa kadiri ya wingi wa huruma zake.Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.Wala kuwahuzunisha. Nimehimizwa moyoni sana kuandika… Read more “Jiandae kwa kipindi Cha Matumaini-Hii Ni Idhaa Ya Kiswahili Radio Fortune Africa.”
Habari za Afrika Leo Mchana.
Radio Fortune Africa -Afrika Leo Mchana https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Natumai U Buheri wa Afya Popote pale Duniani,Karibu Katika Afrika Leo Mchana Jina Langu Cantona Joseph Moja kwa moja,Netanyahu atetea… Read more “Habari za Afrika Leo Mchana.”
Mdomo unaoziba ni hatima iliyoziba!!!
Radio Fortune Africa -Bao La Asubui https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph Wapo watu wengi sana ambao wanahitaji MSAADA na wanatamani KUONGEA, ila wanaogopa sana KUHUKUMIWA. Dunia yetu imejaa… Read more “Mdomo unaoziba ni hatima iliyoziba!!!”
Jeshi la Ulinzi KDF Nchini Kenya limepoteza ardhi ekari 2500 lenye kambi ya Jeshi.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph JESHI la Ulinzi la Kenya (KDF) limepoteza takriban ekari 2,500 za ardhi ambayo kuna kambi ya kijeshi katika eneo la… Read more “Jeshi la Ulinzi KDF Nchini Kenya limepoteza ardhi ekari 2500 lenye kambi ya Jeshi.”
Mikakati Kukomeshwa ukatili wa watoto Nchini Kenya.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Na Cantona Joseph KATIBU katika Wizara ya Leba na Ulinzi wa Jamii, Bw Joseph Motari amesema kuwa serikali inaendelea kuimarisha mikakati kukomesha ukatili… Read more “Mikakati Kukomeshwa ukatili wa watoto Nchini Kenya.”
Usimtimue mkeo.
KADHI Mkuu Nchini Kenya ametoa maagizo ya kuzuia mwanamume kumfukuza mkewe kutoka kwenye nyumba yao ya ndoa au kuchukua kitu chochote, hadi kesi kuhusu mgogoro wa mali… Read more “Usimtimue mkeo.”