
Zaidi ya watoto 70 hawajulikani walipo kufuatia mashambulio ya hivi karibuni ya wanajihadi wa kiislamu katika jimbo la kaskazini la Cabo Delgado nchini Msumbiji, mamlaka nchini humo zimesema.
Kwa mujibu wa vyanzo vya usalama na wakazi wa êneo hilo, watoto hao walitenganishwa na família zao, huku maelfu ya raia wakiripotiwa kukimbilia kwenye jimbo jirani la Nampula.
TheHeartBeatofAfrica
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.