Sitaki ‘kuweka ratiba’ vita vya Iran vitaisha lini – Netanyahu

https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

Na Cantona Joseph Imechapishwa : March 31, 2026 7:10 (EAT)

Vocalize Pre-Player Loader

Mashambulizi yanaendelea Iran, Lebanon na katika maeneo mengine ya Mashariki ya Kati huku kiwanda cha mafuta cha Israel kikichomeka baada ya moto kuzuka kutokana na kipande cha kombora lililozuiliwa.

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameiambia kampuni ya Televisheni ya Marekani Newsmax kwamba hataki “kuweka ratiba” ya ni lini vita na Iran huenda vikaisha.

Netanyahu anasema vita “bila shaka vimeshika kasi” na jamhuri ya Kiislamu ya Iran hatimaye “itaanguka ndani,” shirika la habari la AFP linaripoti.

Wakati huo huo Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) linasema kuwa limetambua makombora yaliyorushwa kutoka Iran kuelekea Israel, na kwamba mifumo ya ulinzi wa anga kwa sasa inafanya kazi “kuzuia tishio”.

Tahadhari imetolewa kwa umma, kuwasahauri watu kuelekea maeneo salama ya ” kujikinga dhidi ya makombora” na kusalia hapo hadi ilani nyingine itakapotolewa.

Abbas Araghchi
Maelezo ya picha,Abbas Araghchi

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ameiambia Saudi Arabia kuwa ni “wakati umefika wa kuyaondoa majeshi ya Marekani’’ nchini mwao.

Katika chapisho kwenye mtandao wa X, Araghchi anasema Iran “inaiheshimu” Saudi Arabia na inaiona kama “taifa ndugu”.

Operesheni za Iran zinalenga “wachokozi wa maadui ambao hawana hawawaeshimu Waarabu au Wairan”, anasema.

Araghchi alichapisha maoni yake pamoja na picha inayoonekana kuonyesha ndege iliyoharibiwa na iliyo na alama za Jeshi la Anga la Marekani. “Angalia tu kile tulichofanya dhidi ya kamandi yao ya anga,” anaandika.

Kamandi Kuu ya Marekani bado haijatoa kauli yoyotehadharani kuhusu tukio hilo. BBC imewasiliana na wahusika kupata maoni.

afghanistanafricaalbaniaalgeriaAmericaamerican-samoaandorraangolaanguillaantarcticaantigua-and-barbudaargentinaarmeniaarubaarushaaustraliaaustriaazerbaijanbahamasbahrainbangladeshbarbadosbelarusBelgiumbelizebeninbermudabhutanboliviabosnia-and-herzegovinabotswanaBoukinafasobrazilbrunei-darussalambulgariaburkina-fasoburmaburundicaliforniacambodiacamerooncanadacape-verdecayman-islandscentral-african-republicChadchicagochilechinachristmas-islandcocos-keeling-islandscolombiacomoroscongocook-islandscosta-ricacote-divoire-ivory-coastCroatiacubacyprusczech-republicdarsalaamdemocratic-peoples-rep-north-koreademocratic-republic-of-the-congo-kinshasadenmarkdjiboutidodomadominicadominican-republicdr-congodubaieast-timor-timor-lesteecuadoregyptegyptyel-salvadorenglandequatorial-guineaequitorial-guineaeritreaestoniaeswatiniethiopiafalkland-islandsfaroe-islandsfederal-states-of-moldovafijifinlandFloridafrancefrench-guianafrench-polynesiafrench-southern-territoriesgabongazageorgiagermanyghanagibraltargomaGreecegreenlandgrenadaguadeloupeguamguatemalaguineaguinea-bissauguyanahabarihaitiholy-seehondurashong-konghoustonhungaryicelandindiaindonesiaIowairaniran-islamic-republic-ofiraqirelandisraelitaliaitalyivory-coastjamaicajapanjordankaratukazakhstankilimanjarokinshasakiribatikiswahilikoreakosovokuwaitkyrgyzstanlaolatvia-lebanon-lesotho-liberia-libya-liechtenstein-lithuania-luxembourgLebanonliberiamacaumadagascarmalawimalaysia-maldivesMalimaltamarshall-islands-martinique-mauritania-mauritiusmassechutesmayottemazingirambeyamerumexicomiamimicronesiamonaco-mongolia-montenegromontserratmoroccomozambique-myanmarmtwaramwanzanamibianaurunepalnetherlandsnetherlands-antillesnevadanew-caledonianew-zealandnewyorknicaraguanigernigerianiuenorth-macedonianorthern-mariana-islandsnorwayomanpakistanpalaupalestinepalestinian-territoriespanamapapua-new-guineaparaguaypeoples-democratic-republicperuphiladhephiaphilipiansPhilippinespitcairn-islandpolandpoliticsPortugalpuerto-ricoqatarrepublic-ofrepublic-of-brazzavillerepublic-of-south-koreareunion-islandromaniaRussiarussian-federationrwandasahara-occidentalsaint-kitts-and-nevissaint-luciasaint-vincent-and-the-grenadinessamoasan-marinosao-tome-and-principesaudi-arabiasaudiarabiascotlandSenegalserbiaseychellessierra-leoneSingaporesingidaslovakia-slovak-republicsloveniasolomon-islandssomaliasouthafricaspainsri-lankasudansurinameswaziland-eswatiniswedenswitzerlandsyriasyrian-arab-republictaborataiwan-republic-of-chinatajikistantanzaniatexasthailandthe-gambiatibettimor-leste-east-timortogotokelautongatorontotrinidad-and-tobagotunisiaturkeyturkmenistanturks-and-caicos-islandstuvaluugandaunited-arabs-emiratesunited-kingdomunited-statesuruguayuzbekistanvancovervanuatuvatican-city-state-holy-seevenezuelavietnamvirgin-islands-britishvirgin-islands-u-swallis-and-futuna-islandswallis-and-futuna-islandswallis-et-futunawashington-dcwestern-saharayemenzambiazambiezimbabwe

CantonaDigital
CantonaDigital

Listen Live Radio Fortune Africa
Ukweli Na Burudani.

-Be ready to be Impacted, Inspired & Empowered.

-Keep watching our Channels

Cantona Cast Television,

Fortune Television Network (FTN)

Donation
Paypal https://www.paypal.com/donate/?hosted_button_id=6EKXMLNW8W6A2&fbclid=IwY2xjawQxeChleHRuA2FlbQIxMABicmlkETFRdkNBRndpclRDQTB5bXZZc3J0YwZhcHBfaWQQMjIyMDM5MTc4ODIwMDg5MgABHq960uGsyU3ABRIBc2h-iXGhHATvuEqe55gFsQ-rDb0fT-Z7SIQ3TV8LnkpD_aem_ybU2SvBlvyqrVsS9NAczRw

An attitude determines an altitude.

All Rights Reserved © The Cantona Group PLC||2025

5,344 posts
0 followers

Fediverse Followers


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a Reply