
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa
Na Cantona Joseph Imechapishwa : March 31, 2026 7:10 (EAT)

Mashambulizi yanaendelea Iran, Lebanon na katika maeneo mengine ya Mashariki ya Kati huku kiwanda cha mafuta cha Israel kikichomeka baada ya moto kuzuka kutokana na kipande cha kombora lililozuiliwa.

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameiambia kampuni ya Televisheni ya Marekani Newsmax kwamba hataki “kuweka ratiba” ya ni lini vita na Iran huenda vikaisha.
Netanyahu anasema vita “bila shaka vimeshika kasi” na jamhuri ya Kiislamu ya Iran hatimaye “itaanguka ndani,” shirika la habari la AFP linaripoti.
Wakati huo huo Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) linasema kuwa limetambua makombora yaliyorushwa kutoka Iran kuelekea Israel, na kwamba mifumo ya ulinzi wa anga kwa sasa inafanya kazi “kuzuia tishio”.
Tahadhari imetolewa kwa umma, kuwasahauri watu kuelekea maeneo salama ya ” kujikinga dhidi ya makombora” na kusalia hapo hadi ilani nyingine itakapotolewa.
‘Wakati wa kuyaondoa majeshi ya Marekani umefika’ – waziri wa mambo ya nje wa Iran aiambia Saudi Arabia

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ameiambia Saudi Arabia kuwa ni “wakati umefika wa kuyaondoa majeshi ya Marekani’’ nchini mwao.
Katika chapisho kwenye mtandao wa X, Araghchi anasema Iran “inaiheshimu” Saudi Arabia na inaiona kama “taifa ndugu”.
Operesheni za Iran zinalenga “wachokozi wa maadui ambao hawana hawawaeshimu Waarabu au Wairan”, anasema.
Araghchi alichapisha maoni yake pamoja na picha inayoonekana kuonyesha ndege iliyoharibiwa na iliyo na alama za Jeshi la Anga la Marekani. “Angalia tu kile tulichofanya dhidi ya kamandi yao ya anga,” anaandika.
Kamandi Kuu ya Marekani bado haijatoa kauli yoyotehadharani kuhusu tukio hilo. BBC imewasiliana na wahusika kupata maoni.
All Rights Reserved © The Cantona Group PLC||2026
afghanistan, africa, albania, algeria, America, american-samoa, andorra, angola, anguilla, antarctica, antigua-and-barbuda, argentina, armenia, aruba, arusha, australia, austria, azerbaijan, bahamas, bahrain, bangladesh, barbados, belarus, Belgium, belize, benin, bermuda, bhutan, bolivia, bosnia-and-herzegovina, botswana, Boukinafaso, brazil, brunei-darussalam, bulgaria, burkina-faso, burma, burundi, california, cambodia, cameroon, canada, cape-verde, cayman-islands, central-african-republic, Chad, chicago, chile, china, christmas-island, cocos-keeling-islands, colombia, comoros, congo, cook-islands, costa-rica, cote-divoire-ivory-coast, Croatia, cuba, cyprus, czech-republic, darsalaam, democratic-peoples-rep-north-korea, democratic-republic-of-the-congo-kinshasa, denmark, djibouti, dodoma, dominica, dominican-republic, dr-congo, dubai, east-timor-timor-leste, ecuador, egypt, egypty, el-salvador, england, equatorial-guinea, equitorial-guinea, eritrea, estonia, eswatini, ethiopia, falkland-islands, faroe-islands, federal-states-of-moldova, fiji, finland, Florida, france, french-guiana, french-polynesia, french-southern-territories, gabon, gaza, georgia, germany, ghana, gibraltar, goma, Greece, greenland, grenada, guadeloupe, guam, guatemala, guinea, guinea-bissau, guyana, habari, haiti, holy-see, honduras, hong-kong, houston, hungary, iceland, india, indonesia, Iowa, iran, iran-islamic-republic-of, iraq, ireland, israel, italia, italy, ivory-coast, jamaica, japan, jordan, karatu, kazakhstan, kilimanjaro, kinshasa, kiribati, kiswahili, korea, kosovo, kuwait, kyrgyzstan, lao, latvia-lebanon-lesotho-liberia-libya-liechtenstein-lithuania-luxembourg, Lebanon, liberia, macau, madagascar, malawi, malaysia-maldives, Mali, malta, marshall-islands-martinique-mauritania-mauritius, massechutes, mayotte, mazingira, mbeya, meru, mexico, miami, micronesia, monaco-mongolia-montenegro, montserrat, morocco, mozambique-myanmar, mtwara, mwanza, namibia, nauru, nepal, netherlands, netherlands-antilles, nevada, new-caledonia, new-zealand, newyork, nicaragua, niger, nigeria, niue, north-macedonia, northern-mariana-islands, norway, oman, pakistan, palau, palestine, palestinian-territories, panama, papua-new-guinea, paraguay, peoples-democratic-republic, peru, philadhephia, philipians, Philippines, pitcairn-island, poland, politics, Portugal, puerto-rico, qatar, republic-of, republic-of-brazzaville, republic-of-south-korea, reunion-island, romania, Russia, russian-federation, rwanda, sahara-occidental, saint-kitts-and-nevis, saint-lucia, saint-vincent-and-the-grenadines, samoa, san-marino, sao-tome-and-principe, saudi-arabia, saudiarabia, scotland, Senegal, serbia, seychelles, sierra-leone, Singapore, singida, slovakia-slovak-republic, slovenia, solomon-islands, somalia, southafrica, spain, sri-lanka, sudan, suriname, swaziland-eswatini, sweden, switzerland, syria, syrian-arab-republic, tabora, taiwan-republic-of-china, tajikistan, tanzania, texas, thailand, the-gambia, tibet, timor-leste-east-timor, togo, tokelau, tonga, toronto, trinidad-and-tobago, tunisia, turkey, turkmenistan, turks-and-caicos-islands, tuvalu, uganda, united-arabs-emirates, united-kingdom, united-states, uruguay, uzbekistan, vancover, vanuatu, vatican-city-state-holy-see, venezuela, vietnam, virgin-islands-british, virgin-islands-u-s, wallis-and-futuna-islands, wallis-and-futuna-islands, wallis-et-futuna, washington-dc, western-sahara, yemen, zambia, zambie, zimbabwe
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.