Isaya 43:1:2Lakini sasa, BWANA aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu.
Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.
Nimekuombea siku ya leo wewe unaepita katika mateso ya magonjwa, madeni, kukosa kazi na misiba ya kila aina sawa sawa na neno la Bwana hiyo mito haitakugharikisha
Nimekuombea siku ya leo najua unapita katika moto na umefika mahali huoni kama kunakutoka tena,huoni Kama kuna tumaini tena
Nimekuombea katikati ya huo moto hautateketea maana Bwana yuko upande wako hatakuacha uangamie
Acha Mungu ninaemtumikie akakuvushe hapo na kukutetea, acha Mungu ninaemtumikia akarudishe tumaini tena ndani yako katika jina la Yesu
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.