Kuna wakati unaweza kupita mahali pagumu na watu wako wa karibu wasijue maumivu uliyonayo
Kwasababu jaribu au msiba usikie tu kwa mwingine usiwe kwako maumivu yake ni makari sana
Najua unapita mahali lakini hakuna mtu anajua maumivu ukiyonayo Mungu akusaidie na nee ma yake ikufunike ili uweze kupita na kuvuka hapo
Marafiki wasipokuelewa Yesu atakuelewa,ndugu wasipokuelewa Yesu atakuelewa
Nimekuombea na ninajua Mungu atakusaidia na utavuka salama katika jina la Yesu.
kama unaamini comment, kama watu woote wasiponielewa najua Yesu wangu atanielewa na atanisaidia” kisha fanyika baraka kwa wengine
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.