Hakuna hali au mazingira yatadumu Milele

Katika maisha jifunze kuamini kuwa hakuna hali au mazingira yatadumu Milele kila jambo huwa ni la muda tu

Hata hayo unayoyapitia yanayokuletea maumivu ni ya muda tu yatapita ni swala la muda tu

Jifunze kujipa muda kuliko kukata tamaa, watu wengi wameshindwa kufika walipotamani kwasababu ya kutokujipa muda

Ninakuombea leo Mungu akupe uvumilivu na imani katika jina la Yesu never give up songa mbele it is just a matter of time

Watie moyo na wengine fanyika baraka kwao kwa kushare mafundisho haya na Mungu atakubariki sana

Na ikiwa unaamini sema sitaruhusu moyo wangu ukate tamaa maana najua it is just a matter of time namimi nitafika”


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment