Kuna wakati unaweza kufikili na kuamini kuwa wewe uliumbiwa matatizo tu, maana maisha yako yoote yamefunikwa na changamoto na matatizo
Niko hapa kukwambia kila lenye mwanzo huwa lina mwisho wake pia, na nyakati ngumu hazitadumu kwenye maisha yako
Nimekuombea Nuru ikatokee kwenye maisha yako na waliokucheka na kukuona hufai acha wakaone Mungu akikuheshimisha
It is just a matter of time usilie tena, wala usikate tama tena asubuhi yako yaja
Kama unaamini comment ” it is just a matter of time nitavuka hapa maana ninamwamini Mungu ninaye mtumikia” kisha fanyika baraka kwa wengine kwa kushare ujumbe huu
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.