Na inawezekana uliomba Mungu akamuondoa Hamani kwenye maisha yako, lakini unashangaa mbona bado hali ni ileile?
Ni swali ambalo lilinitesa miaka kadhaa, maana niliomba Madui wakaondolewa lakini mazingira yakabaki vilevile
Najua hata wewe unajiuliza mbona watesi wameondolewa lakini mazingira yangu hayajabadirika?
Jibu ni kwamba uliomba ndiyo na hao watesi wameondoka lakini madhara yao yamebaki hayajaondolewa
Ninakuombea siku ya leo Bwana akuondolee madhara ya kina hamani yaliyokutesa na yanayokutesa kwa muda mrefu
Kama unaamini comment kwa imani “Bwana yatosha Ondoa madhara ya Hamani kwenye maisha yangu” kisha fanyika baraka na kwa wengine kwa kushare ujumbe huu na Mungu atakubariki sa
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.