Katikati ya magumu na mapito unayoyapitia,katikati ya kuumizwa na kuvunjika moyo,
Mungu akuinulie Kalebu atakaye utuliza moyo wako katikati ya dhoruba kali na vilio.
Kalebu si tukwamba atautuliza moyo wako lakini pia atakutia moyo katikati ya pito lako ya kwamba unaweza na utavuka hapo
Hesabu 13:30 Kalebu akawatuliza watu mbele ya Musa, akasema, Na tupande mara, tukaitamalaki; maana twaweza kushinda bila shaka.
Nami nimekuombea acha ukakutanishwe na kalebu wako katika jina la Yesu. Kama unaamini comment “Bwana wanaonikatisha tamaa na kunivunja moyo ni wengi niinulie kalebu atakae nitia moyo” na itakuwa
Kisha fanyika kalebu kwenye maisha ya wengine kwa kushare na Mungu atakubariki
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.