Mungu hunena vipi?

Je Mungu hunena kutokana na cheo ulicho nacho?Hapana.Atanena tuu,kulingana na uwezo wake na hulka uliyo nayo
njema.

Atanena kuambatana na Imani mwanadamu anayo kwake. Imani uliyo nayo kwake ni kigezo cha yatakayo tendeka kwako.

Mchungaji Erasto Shengezi.

Patron Fortune Int’l Ministries


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment