Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

i. Matatizo ya kimahusiano
ii. Matatizo ya kifedha
iii. Kuondokewa na mtu wa karibu mfano kuachwa au kufiwa.
iv. Kukabiliwa na Vitisho
v. Changamoto za ofisini
Katika Makala Hii Tutazungumzia Chanzo Cha Nne
– Kukabiliwa na Vitisho
Kuna stress ambayo huwa inasababishwa na vitisho ambavyo mtu anakabiliana navyo kwenye maisha yake.
Unapokuwa uko katika hali ya hofu kwa sababu ya kutishiwa mambo mbalimbali kama vile, kutishiwa kuuwawa…
Kutishia kukamatwa na polisi…
Kutishia kufungwa au kutishiwa siri zako kusemwa hadharani…
…basi mtu utajikuta katika hali fulani ya stress ambazo zitakusumbua kwa muda mrefu.
All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2025
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.