VITA unayopigwa haitokani sana na ulivyo au ulichonacho leo.

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph

https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

Wengi wanaokupiga vita ni kwa sababu wanaogopa ukuu wako wa kesho.

Hii ndio maana, kuna wakati utaona mtu amekuzidi kila kitu Ila bado anapambana na wewe.

Yaani, anaweza kukuzidi Cheo, Pesa, Kujulikana n.k Ila ukashangaa bado anapambana ufeli.

Wengi wameshachungulia kinachokuja mbele yako, WANAKUOGOPA utakavyokuwa kesho.

Wanaogopa UKUU WAKO.

Hii ndio maana, usishangae kwa nini wengine HAWAPIGWI VITA Kama wewe.

Ni kwa sababu hawana MBEGU YA UKUU Kama yako.

Usikae mkao wa KUONEWA HURUMA.

Pambania HATIMA YAKO na UILINDE ili wasikupoteze.

Wengine HAWANA HURUMA na wewe, wako tayari kufanya lolote.

Mungu AKUPE UJASIRI kupambana na UPATE USHINDI.

Kama umeipenda makala hii…

All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2025


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment