Moto mkali unaoendelea huko Los Angeles, Marekani umeenea hadi kwenye Milima ya Hollywood siku ya Jumatano, huku watu takribani watano wakielezwa kufariki, na kuharibu mamia ya nyumba.
Zaidi ya watu 100,000 wameamriwa kuhama, huku shughuli za kuzima moto zikiendelea ili kupambana na moto ambao umeteketeza maelfu ya ekari (hekta) tangu kuanza Jumanne.
Maelezo ya picha,Magari yaliyoungua moto huko Altadena.Maelezo ya picha,Wazima moto wanapambana na moto magharibi wa Los Angeles.Maelezo ya picha,Maafisa wa polisi wakimuondoa mkazi mmoja mzee kutoka nyumbani kwakeMaelezo ya picha,Moshi katika eneo la kibiashara ambalo limeteketezwa na moto huko Los Angeles.Maelezo ya picha,Magari na nyumba zimeiteketea kwa motoMaelezo ya picha,Bendera ya Marekani inapepea huku moto ukiteketeza jengoMaelezo ya picha,Moshi upande wa magharibi wa Los AngelesMaelezo ya picha,Watu wanakumbatiana walipokuwa wakihama huku kukiwa na moto