Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

Huko Gaza, hospitali muhimu kwa wakazi wa kaskazini mwa eneo hilo imeharibiwa sana wakati wa shambulio la Israeli. Kulingana na Shirika la Afya Duniani, WHO, imebidi kufungwa.
Shirika la Afya Duniani limesema operesheni ya kijeshi ya Israeli karibu na Hospitali ya Kamal Adwan imeifanya hospitali hiyo, ambayo ni kituo cha mwisho kikubwa cha afya kaskazini mwa Gaza, kusitisha huduma zake.
All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2024
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.