Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa
Daktari Emeruwa akizungumza na waandishi wa habari za michezo nchini Kenya baada warsha ya mafunzo ya kuimarisha usalama viwanjani amesema kila mechi ya kitaifa inayochezwa Drc wanawatuma maafisa wa usalama wa CAF kusaidia kuimarisha usalama.

Taifa la DRC ni miongoni mwa mataifa yaliorodheshwa na shirikisho la soka barani Afrika, CAF, kama nchi zenye maeneo hatari kiusalama wakati wa mechi za soka, Mkuu wa kitengo cha Usalama wa CAF, Daktari. Christian Emeruwa, amesema.
All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2024
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.