
Chanjo hizo zinaletwa Afrika baada ya mataifa zaidi ya 70 nje ya Afrika kuwa nazo, dhihirisho kuwa mafunzo kutokana na uviko 19 ambapo Afrika ilibaguliwa katika usambazaji wa chanjo ,bado hayajaweza kuleta mabadiliko.
Kwa mujibu wa taasisi ya kudhibiti magonjwa barani ,Afrika CDC, ucheleweshaji huu ambao umelazimu Afrika kutegemea chanjo za msaada ni kuwa sababu kampuni za kuzalisha chanjo zilihitaji kupata idhini kutoka WHO ,idhini ambayo imetolewa mwezi huu .

All Rights Reserved © Cantona Group PLC
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.