Tanzania yaondoa amri ya kuwa majumbani kuanzia saa 12 jioni

Radio Fortune Africa -Ukweli na Burudani

https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

Vocalize Pre-Player Loader

Na: Cantona Joseph|RFA

.

Serikali ya Tanzania imeondoa amri ya kuwa majumbani kuanzia saa 12 jioni imeondolewa.

Taarifa hiyo iliyotolewa na Jeshi la Polisi kufuatia maelekezo yaliyotolewa na Rais Samia wakati wa hafla ya kuapishwa tarehe 3/11.2025.

Amri hiyo ilikuwa imetolewa kufuatia vurugu za maandamano yaliyotokea siku ya uchaguzi.

Hapo jana, serikali ilitoa taarifa ya wafanyakazi kurejea katika shughuli zao kama kawaida.

All Rights Reserved © The Cantona Group PLC||2025


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment