Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Wapalestina tisa wameuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na Israel katika kituo cha polisi kaskazini mwa Gaza, maafisa wa afya… Read more “Mashambulizi ya Israel yaua takriban watu 26 Gaza – maafisa wa Palestina wanasema”
Month: April 2025
Sijafurahishwa na mashambulizi ya Urusi – Trump
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Rais wa Marekani Donald Trump amelaani mashambulizi ya Urusi yaliyotokea Ukraine. Ujumbe wake kwenye akaunti ya mtandao wa kijami wa… Read more “Sijafurahishwa na mashambulizi ya Urusi – Trump”
Mwanafunzi auawa katika shambulio la kisu shuleni Ufaransa
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mwanafunzi mmoja ameuawa na takriban watu watatu kujeruhiwa kwa kudungwa kisu katika shule ya kibinafsi magharibi mwa Ufaransa, vyombo vya… Read more “Mwanafunzi auawa katika shambulio la kisu shuleni Ufaransa”
Congo na M23 wakubali kutafuta amani baada ya mazungumzo ya Qatar
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, siku ya Jumatano waliahidi katika… Read more “Congo na M23 wakubali kutafuta amani baada ya mazungumzo ya Qatar”
Urusi yaishambulia Kyiv kwa kombora na droni – Meya
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Takriban watu tisa wameuawa na wengine 60 kujeruhiwa, wakiwemo watoto, katika shambulio la usiku la kombora la Urusi na ndege… Read more “Urusi yaishambulia Kyiv kwa kombora na droni – Meya”
Jordan yaipiga marufuku Muslim Brotherhood
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Serikali ya Jordan imepiga marufuku kundi la Muslim Brotherhood wiki moja baada ya kusema, wanachama wa kundi hilo la Kiislamu… Read more “Jordan yaipiga marufuku Muslim Brotherhood”
Tanzania yapiga marufuku bidhaa zote za kilimo kutoka Afrika Kusini na Malawi
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Tanzania imepiga marufuku rasmi bidhaa zote za kilimo kutoka Afrika Kusini na Malawi, kufuatia maamuzi ya awali ya nchi hizo… Read more “Tanzania yapiga marufuku bidhaa zote za kilimo kutoka Afrika Kusini na Malawi”
Trump amkosoa Zelensky kwa kukataa Urusi kudhibiti Crimea
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Rais wa Marekani Donald Trump amemshutumu Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kwa kuharibu mazungumzo ya amani, baada ya rais wa… Read more “Trump amkosoa Zelensky kwa kukataa Urusi kudhibiti Crimea”
India yawafukuza wanadiplomasia wa Pakistan na kufunga mpaka
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa India imefunga kivuko chake kikuu cha mpaka na Pakistan, kuwafukuza wanadiplomasia wake na kusitisha mkataba wa kihistoria wa kugawana maji… Read more “India yawafukuza wanadiplomasia wa Pakistan na kufunga mpaka”
Zogo latokota serikali jumuishi wandani wa Rais wakidai baadhi ODM wamejaa ulafi
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mwandani wa Ruto Aaron Cheruiyot na mwandani wa Raila Anyang Nyong’o. Picha|Maktaba MIPASUKO imetokea katika ushirikiano wa UDA na ODM huku… Read more “Zogo latokota serikali jumuishi wandani wa Rais wakidai baadhi ODM wamejaa ulafi”