Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: AC Milan, Inter Milan wamuwania Walker Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mlinzi wa kulia wa Uingereza Kyle Walker, 34, anatazamiwa… Read more “Kipenga cha Michezo-13-01-2025-RFA”
Month: January 2025
Mamilioni ya watu waanza kuoga kwenye mito mitakatifu katika tamasha kubwa zaidi la Wahindu
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mamilioni ya watu wanahudhuria tamasha la Kihindu la Kumbh Mela – linalofafanuliwa kama mkusanyiko mkubwa zaidi wa watu – katika… Read more “Mamilioni ya watu waanza kuoga kwenye mito mitakatifu katika tamasha kubwa zaidi la Wahindu”
India: Mwanamke adai kubakwa na wanaume 64 katika kipindi cha miaka mitano
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mwanamke mwenye umri wa miaka 18 wa Dalit kutoka jimbo la Kerala kusini mwa India amewashutumu wanaume 64 kwa kumdhulumu… Read more “India: Mwanamke adai kubakwa na wanaume 64 katika kipindi cha miaka mitano”
Ukraine inasema imezima shambulio la ndege zisizo na rubani la Urusi
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Urusi imefanya shambulizi la ndege zisizo na rubani 110 za aina ya Shahed, Ukraine imesema. Jumla ya ndege 78 zilidunguliwa… Read more “Ukraine inasema imezima shambulio la ndege zisizo na rubani la Urusi”
Sudan: Maelfu wakimbia kusini mwa Sudan huku mapigano yakizidi kuongezeka
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Nchini Sudan, maelfu ya raia katika mji wa Um Rawaba, uliopo kwenye jimbo la Kordofan ya Kaskazini, wamekimbia makwao kutokana… Read more “Sudan: Maelfu wakimbia kusini mwa Sudan huku mapigano yakizidi kuongezeka”
Niger: Eva Gretzmacher, raia wa Austria, atekwa nyara Agadez
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Wizara ya Mambo ya Nje ya Austria imethibitisha Jumapili, Januari 12, kutekwa nyara kwa raia wa Austria huko Agadez, kaskazini… Read more “Niger: Eva Gretzmacher, raia wa Austria, atekwa nyara Agadez”
LA: Idadi ya waliofariki katika moto wa nyikani yaongezeka huku upepo mkali ukitarajiwa
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Watabiri wa hali ya hewa huko California wanaonya upepo mkali ambao ulisababisha moto karibu na Los Angeles unatarajiwa kushika kasi… Read more “LA: Idadi ya waliofariki katika moto wa nyikani yaongezeka huku upepo mkali ukitarajiwa”
‘Niko tayari kwa mabadilishano ya wanajeshi wa Korea Kaskazini’ – Zelensky
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema yuko tayari kuwakabidhi wanajeshi wawili waliokamatwa kutoka Korea Kaskazini kurudi katika nchi yao ili… Read more “‘Niko tayari kwa mabadilishano ya wanajeshi wa Korea Kaskazini’ – Zelensky”
Taliban ‘hawaoni wanawake kama binadamu’, asema Malala
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Malala Yousafzai amewataka viongozi wa Kiislamu kuipinga serikali ya Taliban nchini Afghanistan na sera zake za ukandamizaji kwa wasichana na… Read more “Taliban ‘hawaoni wanawake kama binadamu’, asema Malala”
Walimu wakuu nchini Kenya, wameanza kuwatuma nyumbani wanafunzi kwa karo wiki moja baada ya kufungua shule
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Wanafunzi wakitembea katika barabara awali. Picha|Maktaba WIKI moja tu baada ya shule kufunguliwa kwa muhula wa kwanza, walimu wakuu wameanza… Read more “Walimu wakuu nchini Kenya, wameanza kuwatuma nyumbani wanafunzi kwa karo wiki moja baada ya kufungua shule”