Skip to content
cantonadigital

cantonadigital

Month: January 2025

Amnesty International inamtaka Félix Tshisekedi kusitisha mauaji ya watu wengi ya Kulana

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa “Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anapaswa kumesha mauaji ya halaiki ya zaidi ya watu 170,” ishirika la kimataifa… Read more “Amnesty International inamtaka Félix Tshisekedi kusitisha mauaji ya watu wengi ya Kulana”

January 9, 2025 by CantonaDigital

Marekani inalaani hatua ya M23 ya kuteka baadhi ya maeneo mashariki mwa DRC

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Marekani imelaani ukiukaji mkubwa wa usitishaji vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi lenye silaha la M23,… Read more “Marekani inalaani hatua ya M23 ya kuteka baadhi ya maeneo mashariki mwa DRC”

January 9, 2025 by CantonaDigital

Ubelgiji: Mwanamuziki kutoka Mali Rokia Traoré afikishwa mahakamani

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mwanamuziki kutoka Mali Rokia Traoré amefikishwa tena katika mahakama ya Ubelgiji siku ya Jumatano, Januari 8, kwa kesi ya kushindwa… Read more “Ubelgiji: Mwanamuziki kutoka Mali Rokia Traoré afikishwa mahakamani”

January 9, 2025 by CantonaDigital

Iran: Matamshi ya Macron kuhusu jukumu lake katika Mashariki ya Kati kama ‘hayana msingi’

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Iran inataja matamshi ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron yakitaja nchi hiyo kama “changamoto kuu ya kimkakati na kiusalama” katika… Read more “Iran: Matamshi ya Macron kuhusu jukumu lake katika Mashariki ya Kati kama ‘hayana msingi’”

January 9, 2025 by CantonaDigital

Mpinzani wa Cambodia na mbunge wa zamani auawa Bangkok, polisi wa Thailand wanamsaka.

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mbunge wa zamani wa upinzani nchini Cambodia, mwenye asili ya Khmer na Ufaransa, Lim Kimya, ameuawa kwa kupigwa risasi siku… Read more “Mpinzani wa Cambodia na mbunge wa zamani auawa Bangkok, polisi wa Thailand wanamsaka.”

January 9, 2025 by CantonaDigital

Ushahidi kuhusu uhalifu wa kivita uliofanywa na majeshi ya Uingereza nchini Afghanistan

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Je, vikosi maalum vya Uingereza viliwauwa kinyume cha sheria Waafghani 80 wakiwa wametumwa kupigana na Taliban? Hivi ndivyo uchunguzi ambao… Read more “Ushahidi kuhusu uhalifu wa kivita uliofanywa na majeshi ya Uingereza nchini Afghanistan”

January 9, 2025 by CantonaDigital

Mfalme wa Uholanzi kuzuru Kenya, mwaka mmoja baada ya ziara ya Mfalme Charles III wa Uingereza

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Rais William Ruto na Mkewe Rachel walipokutana na Mfalme wa Uholanzi Willem Alexander na Malkia Maxima jijini, The Hague, nchini… Read more “Mfalme wa Uholanzi kuzuru Kenya, mwaka mmoja baada ya ziara ya Mfalme Charles III wa Uingereza”

January 9, 2025 by CantonaDigital

Naibu Msajili wa Mahakama asukumwa jela siku saba kwa kupuuza agizo la jaji

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Nyundo ya jaji. Picha|Maktaba NAIBU wa Msajili Mahakama ya Leba Joseph Kaverenge amefungwa jela siku saba kwa kukaidi agizo la… Read more “Naibu Msajili wa Mahakama asukumwa jela siku saba kwa kupuuza agizo la jaji”

January 9, 2025 by CantonaDigital

Nchini Kenya Gachagua akataa Kunyamaza.

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua akizungumza kanisani awali. Picha|Maktaba ALIYEKUWA Naibu wa Rais Rigathi Gachagua anaonekana kuendeleza juhudi zake… Read more “Nchini Kenya Gachagua akataa Kunyamaza.”

January 9, 2025 by CantonaDigital

Kipenga Cha Michezo-Harambee Stars yahitaji sare tu kutinga fainali ya Mapinduzi Cup huko Zanzibar

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Wachezaji wa Harambee Stars wakisherehekea baada ya kufunga bao dhidi ya Kilimanjaro Stars Jumanne katika Kombe la Mapinduzi Cup ugani… Read more “Kipenga Cha Michezo-Harambee Stars yahitaji sare tu kutinga fainali ya Mapinduzi Cup huko Zanzibar”

January 9, 2025January 9, 2025 by CantonaDigital

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Blog at WordPress.com.
cantonadigital
Blog at WordPress.com.
Privacy & Cookies: This site uses cookies. By continuing to use this website, you agree to their use.
To find out more, including how to control cookies, see here: Cookie Policy
  • Subscribe Subscribed
    • cantonadigital
    • Join 31 other subscribers
    • Already have a WordPress.com account? Log in now.
    • cantonadigital
    • Subscribe Subscribed
    • Sign up
    • Log in
    • Report this content
    • View site in Reader
    • Manage subscriptions
    • Collapse this bar
 

Loading Comments...