Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Jack Ma mwanzilishi wa kampuni ya Alibaba Ameanza Chini Hadi Juu. Jack Ma aliwahi kutikisa soko la Hisa la Dunia… Read more “MAMBO 6 Makubwa ya KUJIFUNZA Kutoka kwa JACK MA.”
Month: January 2025
Sifa 10 Za Kiongozi Mzuri.
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Unataka Kuwa KIONGOZI Bora, Mwenye Kuleta MATOKEO? i. Maonoii. Ujasiriiii. Maamuziiv. Vipaumbelev. Kulea Wenginevi. Kugawa Majukumuvii. Kujenga Timuviii. Kutatua Migogoroix.… Read more “Sifa 10 Za Kiongozi Mzuri.”
Kenya: Rais William Ruto afanya mazungumzo na rais wa Angola João Lourenço
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Rais wa Kenya, William Ruto, amekamilisha ziara fupi nchini Angola, ambapo alikutana na Rais João Lourenço kwa mazungumzo yaliyofanyika jijini… Read more “Kenya: Rais William Ruto afanya mazungumzo na rais wa Angola João Lourenço”
DR Congo: Raia waandamana mjini Bukavu kutokana na ukosefu wa usalama Mashariki mwa nchi
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Nchini DRC, asasi za kiraia zimefanya maandamano hapo jana siku ya Jumatano mjini Bukavu kupinga vita vinavyoendelea mashariki mwa nchi… Read more “DR Congo: Raia waandamana mjini Bukavu kutokana na ukosefu wa usalama Mashariki mwa nchi”
Sudan Kusini: Kurejelea uzalishaji wa mafuta kutoka Januari 8 mwaka huu
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Serikali ya Sudan Kusini, kuanzia siku ya Jumatano ilianza tena usafirishaji wa mafuta ghafi kupitia nchini jirani ya Sudan, inayoendelea… Read more “Sudan Kusini: Kurejelea uzalishaji wa mafuta kutoka Januari 8 mwaka huu”
Je, wajua faida za kutembea baada ya kupata mlo?
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mwigizaji na mpishi maarufu kutoka Canada, Mairlyn Smith, aliweka wazi hivi majuzi kupitia mtandao wa TikTok kwamba yeye na mumewe… Read more “Je, wajua faida za kutembea baada ya kupata mlo?”
Jeshi la Congo lachukua udhibiti wa sehemu za mji wa Masisi kutoka M23
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (FARDC) na washirika wake, wanamgambo Wazalendo, jana waliteka tena sehemu za mji wa… Read more “Jeshi la Congo lachukua udhibiti wa sehemu za mji wa Masisi kutoka M23”
Wasiwasi watanda Msumbiji wakati kiongozi wa upinzani akirejea kutoka uhamishoni
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Kiongozi wa upinzani nchini Msumbiji aliye uhamishoni Venancio Mondlane amerejea nchini leo kabla ya kuapishwa kwa rais mpya wiki ijayo… Read more “Wasiwasi watanda Msumbiji wakati kiongozi wa upinzani akirejea kutoka uhamishoni”
Ujerumani na Ufaransa zamuonya Trump kuhusu kuinyakua Greenland
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Ujerumani na Ufaransa zimemuonya rais mteule wa Marekani, Donald Trump dhidi ya kukinyakua kisiwa cha Greenland, eneo linalojitawala la Denmark.… Read more “Ujerumani na Ufaransa zamuonya Trump kuhusu kuinyakua Greenland”
Marekani yatangaza msaada mpya wa dola milioni 500 kwa Ukraine
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Marekani imetangaza msaada mpya kwa Kyiv wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 500, msaada wa mwisho kabla ya kuapishwa… Read more “Marekani yatangaza msaada mpya wa dola milioni 500 kwa Ukraine”