Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametangaza siku ya Alhamisi, Desemba 12, kuwa amewatembelea wanajeshi wake karibu na uwanja wa vita katika eneo la kusini la Zaporizhia, ambako Ukraine inashuku kuwa Urusi inajiandaa kufanya mashambulizi.

“Askari wetu wa kikosi cha 27 cha silaha (…). Wanafanya kazi kutetea mikoa yetu ya Zaporizhia na Donetsk dhidi ya mvamizi,” amesema Volodymyr Zelensky, akirusha video ambayo anahutubia askari wake.
All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2024
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.