Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa
Viongozi wa nchi za kundi la mataifa 7 yaliyostawi zaidi kiviwanda (G7) watakutana Ijumaa ya wiki hii kujadili hali ya Syria baada ya kuanguka kwa Bashar al-Assad, afisa wa Marekani amesema siku ya Jumanne Desemba 10, 2024. “Syria itakuwa moja ya mada zitakazojadiliwa wakati wa mkutano,” afisa huyo amesema, akizungumza kwa sharti la kutotajwa.

Mbali na Marekani, G7 inazileta pamoja Ufaransa, Canada, Ujerumani, Uingereza, Japani na Italia, ambayo inashikilia urais wa zamu hadi mwisho wa mwaka huu.
All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2024
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.