Mambo 7 Makubwa Yanayoua Kipaji

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph

https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

Unataka KUGEUZA KIPAJI Chako Kuwa PESA, Na Kidumu Kwa Muda Mrefu?…

i. Kipaji siyo kwa ajili yako bali kipaji ni kwa ajili ya wengine

ii. Kuacha kukinoa kipaji chako.

iii. Tabia zinazofukuza watu.

iv. Kukosa Mlezi

v. Marafiki wabaya

vi. Kuwekeza kwenye mfumo wa maisha kuliko vipaji vyao wenyewe

vii. Kushindwa kubadilisha kipaji chako kuwa biashara

Katika Makala Hii Tutazungumzia Jambo la Nne

– Kukosa Malezi

Hapa nazungumzia kuwa na mtu ambaye ni Mentor au Coach kwenye maisha yako.

Kuna watu wengi sana wanakuja kugundua wakati maisha yao yamepotea kabisa.

Lakini ukiwaangalia unagundua kwamba huyu mtu angepata mtu wa kumkalisha chini na kumshauri ingemsaidia sana.

Nataka uelewe kwamba kama una kipaji ila hauna mtu yeyote ambaye unamhofia.

Au anaweza kukuonya na kukurudisha kwenye mstari ujue kwamba kipaji chako kipo hatarini.

Usiingie kwenye kundi la watu ambao kipaji chao kinapotea.

Tafuta mtu ambaye atakuwa akikushauri na kukuonya unapokosea.

Kama unataka kujifunza Jinsi Ya KUGEUZA KIPAJI Chako Kuwa PESA Na Kukifanya Kidumu Kwa Muda Mrefu…

All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2024


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment