Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph
https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

Watanzania hii leo wanaadhimisha miaka 25 tangu kufariki kwa mwanzilishi wa taifa hilo Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Miongo kadhaa bila ya uwepo wake, Tanzania imeshuhudia mabadiliko kadhaa katika sekta mbalimbali, lakini pia mmomonyoko wa maadili, kama wanavyosema wachambuzi.
Hizi ni baadhi ya nukuu za Mwalimu Nyerere ambazo zinaendelea kuishi.




All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2024
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.