AINA 3 Za MARAFIKI WANAOUA NDOTO Zako…

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph

https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

i. Marafiki Wanaoibeza Ndoto Yako

ii. Marafiki Waharibu Maono

iii. Marafiki Wanaoshambulia Ndoto Yako

Leo katika makala hii tutaangalia aina ya kwanza ya marafiki wanaoua NDOTO.

– Marafiki Wanaoibeza Ndoto Yako

Hawa ni watu ambao hawaamini katika ndoto yako.

Ni watu wanaoipuuza na kuidharau ndoto yako.

Kwao wanaona kama unania makuu.

Au unaishimaisha dhahania.

Ukiwaambia ndoto yako watakuambia ni kitu

kisichowezekana.

Watakuambia wamejaribu wengi na wameshindwa.

Wewe ndio hutaweza kabisa hata kufika mbali.

Watakubeza kwa kuangalia mwonekano wako.

Au kwa kuangalia historia na mazingira yako yasiyo rafiki.

Ni marafiki ambao ukiwaruhusu kwa muda

mrefu watakufanya uanze kukata tamaa.

Kwa hiyo ukiona una rafiki anayekudharau na

kukubeza basi jitahidi kukaa mbali na watu wa aina hiyo.

Ukihitaji kujifunza kwa kina kuhusu AINA Nyingine 2 Za MARAFIKI Wanaoua NDOTO Zako…Tegea maakala ya Bao La Asubui

All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2024


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment