EAC: Namna mafunzo ya ujasiriamali yanaweza kuwainua vijana

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph

https://radioslist.com/online/ke/fortuneafrica.html#infomore

Katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwama kuangaza na kumulika namna mafunzo ya ujasiriamali yanaweza kuwainua vijana walio ukanda wa Afrika mashariki kupunguza ukali wa Maisha kutokana na kukosa ajira. 

Sehemu kubwa ya vijana katika mataifa ya Afrika Mashariki wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ajira.
Sehemu kubwa ya vijana katika mataifa ya Afrika Mashariki wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ajira. © EAC.int

All Rights Reserved © Cantona Group PLC||2024


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment