Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Huhitaji Kubwa Tajiri Ili Ustaafu Ukiwa Na Kipato Cha Uhakika. ____Zaidi ya asilimia 70 ya watu wanapata STRESS kuhusu PESA… Read more “Bao La Asubui- Agosti 6,2024”
Month: August 2024
Ajali Sanchangwan-Wanafunzi 26,walimu 3 na mpishi wapokea matibabu
WANAFUNZI 26, walimu watatu na mpishi mmoja wa shule ya Rockside Academy, Nairobi wanapokea matibabu katika Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Nakuru na Hospitali ya Kaunti… Read more “Ajali Sanchangwan-Wanafunzi 26,walimu 3 na mpishi wapokea matibabu”
Waziri mkuu wa Bangladesh ajiuzulu na kukimbilia India.
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa DHAKA, Bangladesh WAZIRI Mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina alijiuzulu Jumatatu, Agosti 5, 2024 na kutorokea India kufuatia maandamano yanayoendelea nchini humo. Duru… Read more “Waziri mkuu wa Bangladesh ajiuzulu na kukimbilia India.”
Kampuni ya Kawi Nchini Kenya kulipia fidia milioni 2 kwa familia moja.
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa KAMPUNI ya Umeme nchini (KPLC) imeagizwa kulipa fidia ya Sh2 milioni kwa familia moja jijini Mombasa ambayo nyumba yao iliharibiwa… Read more “Kampuni ya Kawi Nchini Kenya kulipia fidia milioni 2 kwa familia moja.”
Mkuu majeshi Bangladesh atangaza mipango kuundwa serikali mpya.
Radio Fortune Africa-Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa DHAKA, Bangladesh MKUU wa Majeshi Bangladesh Waker-Uz-Zaman ametangaza mipango ya kuundwa kwa serikali ya muda nchini humo, uongozi sasa ukiwa chini… Read more “Mkuu majeshi Bangladesh atangaza mipango kuundwa serikali mpya.”
Timu ya mpira wa vikapu ya Nigeria yaweka historia kwenye Michezo ya Olimpiki
Radio Fortune Africa -Kipenga Cha Michezo https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Timu ya mpira wa vikapu ya Nigeria iliweka historia katika Michezo ya Olimpiki ya Paris kwa kuwa timu ya kwanza… Read more “Timu ya mpira wa vikapu ya Nigeria yaweka historia kwenye Michezo ya Olimpiki”
Serikali ya Sudan inakanusha kuwepo njaa katika kambi ya Darfur ya Zamzam
Radio Fortune Africa Mfuatiliaji wa chakula duniani aligundua kuwa njaa, iliyothibitishwa wakati vigezo vya utapiamlo na vifo vinapofikiwa, ilikuwepo katika kambi ya Zamzam na kuna uwezekano wa… Read more “Serikali ya Sudan inakanusha kuwepo njaa katika kambi ya Darfur ya Zamzam”
Bao La Asubui-Agosti 5,2024
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Niliwahi kusikia mwenye hekima mmoja akisema… “People Can’t Attack What They Dont Know”. Yaani watu hawawezi KUSHAMBULIA kitu ambacho HAWAKIJUI.… Read more “Bao La Asubui-Agosti 5,2024”
Unwritten rules
Radio Fortune Africa https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa All Rights Reserved ©Cantona Group Ltd||2024
Afrika Mwisho Juma-Habari Kamili -Agosti 4,2024
Radio Fortune Africa- Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa WAZIRI mteule wa Uchumi wa Baharini na Uchimbaji Madini Hassan Ali Joho amekana madai kuwa anahusika katika ulanguzi wa mihadarati.… Read more “Afrika Mwisho Juma-Habari Kamili -Agosti 4,2024”