Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Natumai unaendelea vyema, karibu tena kwa matangazo yetu ya mubashara ya leo, ikiwa ni tarehe 22.08.2024. WIZARA ya Fedha imetoa… Read more “Afrika Leo Mchana”
Month: August 2024
Makala Ya Bao La Asubui
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa Mambo 3 Makubwa Usiyoyajua Kuhusu KUKATALIWA. Mtu mmoja aliwahi kusema… “Everytime I look back I realize that the times when… Read more “Makala Ya Bao La Asubui”
Mwangaza atimuliwa Gizani aona Mwangaza Asubui kortini.
KAWIRA Mwangaza, ambaye alitumbukia kwenye giza Jumanne usiku, Agosto 20, 2024 baada ya kupoteza kiti chake cha ugavana, ameona miale ya mwangaza baada ya kwenda kortini. Mahakama Kuu Jumatano asubuhi,… Read more “Mwangaza atimuliwa Gizani aona Mwangaza Asubui kortini.”
Afrika Leo Mchana -Habari Kamili.
Radio Fortune Africa-Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa. RAIS William Ruto sasa anaonekana kuwa adui wa kisiasa wa wakazi wa Mlima Kenya kutokana na ukuruba wake na kiongozi wa… Read more “Afrika Leo Mchana -Habari Kamili.”
Makala Ya Bao La Asubui.
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa UBAYA wa kuonekana wewe ni mtu mwenye NGUVU na HODARI ni kuwa hakuna MTU ATAKUULIZA HALI YAKO. Kuna wengi ambao… Read more “Makala Ya Bao La Asubui.”
Makala Ya Bao La Asubui.
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa MUHIMU: Itakusaidia sana, Kama Sio SASA basi SIKU ZA USONI… Sio kila mtu ana UJASIRI wa kukupa JIBU. Kuna wengi… Read more “Makala Ya Bao La Asubui.”
AFRIKA LEO JIONI -HABARI KAMILI
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph KINARA wa upinzani Raila Odinga Jumatatu aliongoza ODM kususia mkutano wa Baraza Kuu la Azimio la Azimio, kikao kilichostahili kuongozwa na… Read more “AFRIKA LEO JIONI -HABARI KAMILI”
Bao La Asubui -Nyakati ngumu hukutenga na watu uliwazoea..
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa NYAKATI NGUMU zitakutenga na watu ULIOWAZOEA. Sio kila mtu anaweza KUSIMAMA na wewe Kwenye NYAKATI ZAKO NGUMU. Kuna aina fulani… Read more “Bao La Asubui -Nyakati ngumu hukutenga na watu uliwazoea..”
Afrika Leo Jioni -Habari Kamili
BAADHI ya vyama tanzu katika muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya sasa vimeanzisha kampeni inayolenga kufanikisha kuondolewa kwa ODM kutoka muungano huo baada ya Raila Odinga kuamua… Read more “Afrika Leo Jioni -Habari Kamili”
Afrika Leo Mchana -Habari Kamili Agosti 16,2024
Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa WAANZILISHI wa United Democratic Alliance (UDA), wamepuuza kauli iliyotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Cleophas Malala kwamba alifurushwa… Read more “Afrika Leo Mchana -Habari Kamili Agosti 16,2024”