Bao La Asubui -Kila Maono lazima yalindwe Ili yasikuponyoke.

Radio Fortune Africa -Na Cantona Joseph

https://zeno.fm/radio/radio-fortune-africa

MUHIMU: Kwa Wote Wenye MAONO Flani.

Kila MAONO lazima yalindwe Ili yasikuponyoke.

Njia nzuri ya kulinda maono Uliyonayo ni…

…KUYAISHI bila UOGA wala HOFU ya kushindwa.

Kuna mambo ukiendelea kuchelewa kuyafanya…

…ule MOTO wa kufanya UNAPOTEA.

Kadiri unavyochelewa kuanza kuishi MAONO uliyonayo…

…ndivyo ambavyo utapata UGUMU ZAIDI KUANZA.

Unataka kufanya nini kwenye maisha yako?

ANZA LEO usisubiri kesho.

Naomba kama umejifunza kitu fanya mambo haya mawili…

1. NIANDIKIE ulichojifunza na unachoenda kufanyia kazi kwenye comments kwa ufupi…

All Rights Reserved © Cantona Group Ltd||2024


Discover more from cantonadigital

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Leave a comment