Hofu kubwa ambayo kila mtu anayo kwenye maisha ni… …kupoteza au kuwa mbali na watu tuliowazoea sana. Hata hivyo, katika safari yako kuelekea juu kuna wakati… …utalazimika… Read more “Hofu ya kuwa mbali na unapwapenda!!!”
Month: February 2024
Usilazimishe kwa kila ubishi!!!
Moja ya HEKIMA muhimu kwenye maisha ni kujua kuwa, HAUTAKIWI kulazimisha kwenye kila MABISHANO na KUTOFAUTIANA. Uwe mtu wa kupima mambo, kuna wakati unaweza kupata USHINDI kwenye… Read more “Usilazimishe kwa kila ubishi!!!”
Sio wote wanaovaa vizuri hawana changamoto!!!
Maalum Kwa Wale Ambao Wameshawahi Kusaidiwa Maishani… Kuna watu wengi sana wanapitia MAGUMU na MAZITO ila hawawezi kukuambia au kuyaweka wazi. Kuna wengi ambao kiwango cha MAUMIVU… Read more “Sio wote wanaovaa vizuri hawana changamoto!!!”
Kubali kuchekwa….
Maalum Kwa Wanaoogopa Kuchekwa… Ukifanya na USIPOFANIKIWA utachekwa… Ukijaribu kuanza na UKAFELI utachekwa… Usipofanya ukabakia ULIPO utachekwa… Wengine watakucheka kwa kujaribu UJANANI kwa sababu ulifeli… Wengine watakucheka… Read more “Kubali kuchekwa….”
Sio kila mtu atauona ushujaa wako.
[ MAKALA BURE ] Kwa Wote Wanaopenda Kujitoa Kwaajili Ya Wengine… Sio kila mtu ATAUONA USHUJAA WAKO. Kuna wakati unaweza kupitia MAUMIVU kwa sababu wale uliopambana… …na… Read more “Sio kila mtu atauona ushujaa wako.”