Wakati wa kuomba sana

UNAPOSHANGILIWA sana, UNAPOSIFIWA sana, ndio wakati wa KUMUOMBA Mungu sana. Kuna wengi ambao hawafurahishwi na kuinuka kwako. Wengine ni kwa sababu wanaona HAUSTAHILI kuwa hapo ulipo wao… Read more “Wakati wa kuomba sana”