UNAPOSHANGILIWA sana, UNAPOSIFIWA sana, ndio wakati wa KUMUOMBA Mungu sana. Kuna wengi ambao hawafurahishwi na kuinuka kwako. Wengine ni kwa sababu wanaona HAUSTAHILI kuwa hapo ulipo wao… Read more “Wakati wa kuomba sana”
Month: July 2023
Maumivu ya moyo
Usipuuzie Maumivu Yako, Madhara Yanayoletwa Na Maumivu Ya Moyo. ____1. Kutoamini watu wanaopaswa kuaminika. Kuna watu kwa sababu walishawahi kuumizwa huko nyuma… …imeua kabisa uwezo wao wa… Read more “Maumivu ya moyo”
Mkakati wa kusoma
Njia Rahisi Zaidi Ya Kupanga Mkakati Wa Kusoma. ____1. Jua Unachotakiwa Kusoma: Tumia muongozo wa kozi yako na andaa orodha ya vitu ambavyo unatakiwa kuwa unavifahamu kabla… Read more “Mkakati wa kusoma”
Unapokumbana na Magumu
Kuna wakati utapitia nyakati NGUMU na zenye MAUMIVU na itaonekana kama vile MSAADA unaouhitaji UNACHELEWA. Mara nyingi, tukipita nyakati kama hizi tunaingiwa na hali ya KULAUMU na… Read more “Unapokumbana na Magumu”
Tunza Siri
UKIAMINIWA kupewa taarifa za ndani na MTU, usizitumie KUMNYANYASA. Kuna watu wengi sana wameumizwa kwa sababu WALIJIFUNUA kwa watu ambao baadaye WALIGEUKA kuwa ndio chanzo cha MAUMIVU… Read more “Tunza Siri”
Jinsi ya kuwa mtu mwene aman moyoni
Jinsi Ya Kuwa Mtu Mwenye Amani Moyoni. Njia mojawapo ya kujihakikishia unakuwa mtu mwenye amani moyoni ni kuwa mtu unayesamahe wanaokukosea. Jonathan Lockwood aliwahi kusema… …“Wasamehe wengine… Read more “Jinsi ya kuwa mtu mwene aman moyoni”
Kuachana sio lazima mgombane
Ukifika wakati wa KUACHANA sio lazima MGOMBANE. Kuna wakati itabidi uachane na mbia wako (Business Partner) wa biashara ambaye mlipanga kufika mbali sana. Kuna wakati itabidi uachane… Read more “Kuachana sio lazima mgombane”
Uwezo wako una pande nyingi
*UWEZO WAKO UNA PANDE NYINGI* Kuna watu leo kinachowapa FURAHA ni UWEZO walionao, na kuna wengine KINACHOWATESA na kuwafanya waishi kwenye SHIDA ni kwa sababu ya UWEZO… Read more “Uwezo wako una pande nyingi”
Kuepuka changamoto za kifedha
Hatua 3 Za Kuzifuata IIi Kutoka Katika Changamoto Za Kifedha. Hatua ya kwanza ni kubadilisha mtazamo na imani yako juu ya uwezekano wa mafanikio yako ya kifedha.… Read more “Kuepuka changamoto za kifedha”
Chukua Hatua
Kuna watu wengi sana hawayajui MAUMIVU yako, hata siku moja hawataweza kuyaelewa MAAMUZI YAKO. ____Usisahau kuwa kuna wakati utatakiwa KUCHUKUA HATUA… …au KUFANYA MAAMUZI ambayo watu wengi… Read more “Chukua Hatua”