
Utafiti ambao nimeufanya mabinti wanachokipenda wanapokutana kwa mara ya kwanza na mwanaume iwapo ataweza kukubali mahusiano yawepo. Wanaliangalia hili sana:
1.Harufu:
Mwanamme anayenukia hupata asilimia kubwa hata kabla kutamka neno.
2.Mshipi
Aina ya kiatu Mshipi wako na kiatu humvutia ama kumchukiza mwanamke mara ya kwanza anapokuona.
3.Kimo:
Ni kweli kwamba mwanamke huzingatia pakubwa kimo cha mwanamme kwa asilimia kubwa katika kufanya uamuzi wake.
4.Meno:
Tabasamu hutoa nafasi kuyafunua meno yako. Kila mume anapaswa kuyatunza meno yake vizuri kuepuka harufu mbaya na aibu.
5.Lugha:
Wanadada huwapenda wanaume ambao huweza kuzungumza kizungu kizuri bila kuboronga sarufi wala kujichanganya.
6.Ujasiri:
Mwanamme anayetongoza mwanamke akiwa jasiri huwa nafasi ya juu zaidi kufanikiwa bila tatizo.
7.Umbo:
Wanawake huvutiwa na wanaume ambao wana umbo zuri.
8.Rangi ya mwili: Mwanamke huzingatia rangi ya mwanamme kabla kulikubali ombi la uhusiano.
Cantona School of Thoughts
Tembea Youtube Subscribe Youtube channel yangu
CantonaCast Television https://youtu.be/kFruH4ysPE4
Website: cantonadigital.wordpress.com
Email:cantona.online254@gmail.com
#MahusianoNaNdoa #IpoSiku #marriagemathematics #FamiliaNaMalezi #MaendeleoNaMafanikio #CantonaJoseph
Discover more from cantonadigital
Subscribe to get the latest posts sent to your email.